Agent-47
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 784
- 2,828
Haya ngoja nirekebishe:na wale wazanzibar walio fatwa makwao wakapatikana waakiwaa wamekufa, hukusikiaa
SAMIA ANAUA WATANZANIA. 📢
Haya ngoja nirekebishe:na wale wazanzibar walio fatwa makwao wakapatikana waakiwaa wamekufa, hukusikiaa
kwamba hata mdude, soka, polepole, gwajima, niffer nk wote wamenymwa hzo teuze? Hebu jaribu kunishawish niamini je yule mdada aliyekuwa jana amevaa tshirt imeandkwa i love lissu akakamatwa na hajulikan alipo naye kanyimwa teuzi hzo au vp.. Vp khs mzee kibao naye shda ilikuwa nn mpk kuuwawa kikatili vile au naye n miongon mwa wanymwa teuz ulizosema.una akili sana kijana utafika mbali hawa wenzako wanalazimisha wote tumchukie rais kosa wamenyimwa teuzi, ukuu wa wilaya nk
Huna akili wewewanakijiji wa kwenu huko wakija mjini huwa wanashanga nini, mbona watu na heshima zao wanaenda kupiga picha kwenye vioo vya ubungo tena kwa foleni,
nikikuona humu baada ya maandamano taamini we ni mnafiki, waanfamanaji wa kweli watakia jela na kaburin we ukipona ni mnafiki tu
Akaunti ya juzi jumatano: vibaka wa Abdul haoHuyu mgonjwa wa akili anahitaji matibabu
Mahakama yenyewe inamilikiwa na nani kwanzakauwa nani? una ushahidi? nenda mahakamani kafungue kesi
Nasikitika kwamba kumbe tunajadili na mgonjwa wa akili fungeni kamba peleka milembepimbi ni wewe rais kaua au watumishi wake ndo wameua utakuja ufungwe jela kiboya sana hujui kiwasilisha lalamiko je akikutaka utoe ushahidi wa kuua, unao?
Amen 🙏🙏🙏🙏Kupoteza mda kubishana na huyu dogo aliyekua anadai ni mwanamitindo ni matumizi mabaya ya mda
Mbona wewe hujauawa?! Na Mimi hapa sijauawa?!Mtu anayewauwa watu ana mazuri gani?
Mazuri japo hana hata kidogo lakini hata akiwa nayo hiyo siyo news kwani inakuwa ametimiza wajinu wake likini akivuruga lazima iwe news kwani hakuchaguliwa ili akaharibu.Alilipa mabilioni ili mafuta ya petrol yasoipande kuepusha mfumuko wa bei.
Wazalendo wakagoma hela za halmashauri zisitoke, hazirejeshwi akawa mbogo na hela zikarudi kwa wananchi.
Watoto wenu wa kike wakalombwa huko wakapewa ujauzito wakaktaliwa kurudi shule ye akawarudisha.
Maghorofa kariakoo na Tanzania nzima yanaota ka uyoga baada ya kusimama kwa muda mrefu
Wanafunzi diploma eti nao wanakula mkopo dah, huyu mama ana pepo yake wallah.
Changamoto yake ni utekaji tu mbona we hujatekwa hivo ukitekwa jiulize umekosea wapi, japo na amini jilo jambo litakoma siku moja ila nasi tuwe na adabu mama kakubali kukosolewa ila kwa staha si kisela hivo,
Nitarudi.....
achana nao hao wasikuchoshe, kama samia kaua waende mahakamani, mahakama ipo ile ya arusha sio ya serikali waenda kuleMbona wewe hujauawa?! Na Mimi hapa sijauawa?!
Mama Samia anasema kama kawahi kuua kiumbe yoyote labda aliua sisimizi aliyemkanyaga bahati mbaya bila kumuona.