Huyo mwingira anakuaga na utindio , mental health😕This is non nonsensical.... Haya hayana tofauti na kauli ya Kwamba wazuri hawafi.....
Huu ni muendelezo wa kupigana na Marehemu wakati walio Hai wanaendelea kukutafuna...
Ujinga ni nini ?Swali la kijinga kutoka mtu asiyetarajiwa aseme hivyo!
Nguzo kuu ya viongozi wa dini ni kusema UkweliHawa ndiyo viongozi wetu wa Dini.........
Huyu jamaa kanyoosha rula
Anahitaji majibuSwali la kijinga kutoka mtu asiyetarajiwa aseme hivyo!
Wao kama watumishi wa Mungu wanapenda wenyewe kushuhudia ukuu Wa Mungu. Ni wajibu wao kufanya hivyo.Mmeanza kutumia viongozi wa dini...
Jibu swali la askofu tafadhaliHawa ndiyo viongozi wetu wa Dini.........
Kifo nadhaniKwahiyo Lisu ameshinda nini wandugu?
Kama kiongozi mwenyewe ni WA Dini na hana ufahamu wa anachokiuliza,kumjibu mtu ambaye angalau unadhani anakauelewa kidogo ni kupoteza mudaJibu swali la askofu tafadhali