Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,520
- 86,078
Hilo ni swali tu Wala Sina ugomvi Wala husda ya MTU yoyote kuitwa vyovyote vile aitwavyo.
Inawezekanaje Askofu (sijui kama ni Askofu KWELI) kutaka Samia kuitwa Mama wa Taifa iwe ni Sauti ya Watanzania na.....
1. Isiwe ni Sauti ya Watanzania Kwa wale Maaskofu wa TEC kuhusu "kuuzwa" Kwa bandari zetu?
2. Kwanini "Askofu" huyo hakukemewa Wala kulaaniwa Kwa "kuchanganya" Dini na siasa ila iwe hivyo Kwa TEC? Au siku hizi kuna cheo Cha Uaskofu Huko CCM?
3. Inawezekanaje Askofu mmoja awe NDIO Sauti ya Watanzania na Sio Baraza la Maaskofu? Hili nitamuuliza Binti yangu.....
Inawezekanaje Mizani Ile ile Leo iwe sahihi ila Jana iwe sio sahihi???
Tumekua wepesi wa kusahau kiasi hiki au ni makusudi??
Inawezekanaje Askofu (sijui kama ni Askofu KWELI) kutaka Samia kuitwa Mama wa Taifa iwe ni Sauti ya Watanzania na.....
1. Isiwe ni Sauti ya Watanzania Kwa wale Maaskofu wa TEC kuhusu "kuuzwa" Kwa bandari zetu?
2. Kwanini "Askofu" huyo hakukemewa Wala kulaaniwa Kwa "kuchanganya" Dini na siasa ila iwe hivyo Kwa TEC? Au siku hizi kuna cheo Cha Uaskofu Huko CCM?
3. Inawezekanaje Askofu mmoja awe NDIO Sauti ya Watanzania na Sio Baraza la Maaskofu? Hili nitamuuliza Binti yangu.....
Inawezekanaje Mizani Ile ile Leo iwe sahihi ila Jana iwe sio sahihi???
Tumekua wepesi wa kusahau kiasi hiki au ni makusudi??