Swali kwa Kitila Mkumbo; Kama Sauti ya Askofu (anayetaka Samia kuitwa Mama wa Taifa ni ya Watanzania) vipi Ile ya TEC iwe sio ya Watanzania?

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
55,520
86,078
Hilo ni swali tu Wala Sina ugomvi Wala husda ya MTU yoyote kuitwa vyovyote vile aitwavyo.

Inawezekanaje Askofu (sijui kama ni Askofu KWELI) kutaka Samia kuitwa Mama wa Taifa iwe ni Sauti ya Watanzania na.....
1. Isiwe ni Sauti ya Watanzania Kwa wale Maaskofu wa TEC kuhusu "kuuzwa" Kwa bandari zetu?
2. Kwanini "Askofu" huyo hakukemewa Wala kulaaniwa Kwa "kuchanganya" Dini na siasa ila iwe hivyo Kwa TEC? Au siku hizi kuna cheo Cha Uaskofu Huko CCM?
3. Inawezekanaje Askofu mmoja awe NDIO Sauti ya Watanzania na Sio Baraza la Maaskofu? Hili nitamuuliza Binti yangu.....

Inawezekanaje Mizani Ile ile Leo iwe sahihi ila Jana iwe sio sahihi???

Tumekua wepesi wa kusahau kiasi hiki au ni makusudi??
IMG-20231018-WA0004.jpg
 
Hilo ni swali tu Wala Sina ugomvi Wala husda ya MTU yoyote kuitwa vyovyote vile aitwavyo.

Inawezekanaje Askofu (sijui kama ni Askofu KWELI) kutaka Samia kuitwa Mama wa Taifa iwe ni Sauti ya Watanzania na.....
1. Isiwe ni Sauti ya Watanzania Kwa wale Maaskofu wa TEC kuhusu "kuuzwa" Kwa bandari zetu?
2. Kwanini "Askofu" huyo hakukemewa Wala kulaaniwa Kwa "kuchanganya" Dini na siasa ila iwe hivyo Kwa TEC? Au siku hizi kuna cheo Cha Uaskofu Huko CCM?
3. Inawezekanaje Askofu mmoja awe NDIO Sauti ya Watanzania na Sio Baraza la Maaskofu? Hili nitamuuliza Binti yangu.....

Inawezekanaje Mizani Ile ile Leo iwe sahihi ila Jana iwe sio sahihi???

Tumekua wepesi wa kusahau kiasi hiki au ni makusudi??View attachment 2784979
Huyu prof na yule wa vinyesi mto Mara hawana tofauti
 
Hilo ni swali tu Wala Sina ugomvi Wala husda ya MTU yoyote kuitwa vyovyote vile aitwavyo.

Inawezekanaje Askofu (sijui kama ni Askofu KWELI) kutaka Samia kuitwa Mama wa Taifa iwe ni Sauti ya Watanzania na.....
1. Isiwe ni Sauti ya Watanzania Kwa wale Maaskofu wa TEC kuhusu "kuuzwa" Kwa bandari zetu?

Kwa sababu maaskofu wa tec siyo Watanzania.
 
Hilo ni swali tu Wala Sina ugomvi Wala husda ya MTU yoyote kuitwa vyovyote vile aitwavyo.

Inawezekanaje Askofu (sijui kama ni Askofu KWELI) kutaka Samia kuitwa Mama wa Taifa iwe ni Sauti ya Watanzania na.....
1. Isiwe ni Sauti ya Watanzania Kwa wale Maaskofu wa TEC kuhusu "kuuzwa" Kwa bandari zetu?
2. Kwanini "Askofu" huyo hakukemewa Wala kulaaniwa Kwa "kuchanganya" Dini na siasa ila iwe hivyo Kwa TEC? Au siku hizi kuna cheo Cha Uaskofu Huko CCM?
3. Inawezekanaje Askofu mmoja awe NDIO Sauti ya Watanzania na Sio Baraza la Maaskofu? Hili nitamuuliza Binti yangu.....

Inawezekanaje Mizani Ile ile Leo iwe sahihi ila Jana iwe sio sahihi???

Tumekua wepesi wa kusahau kiasi hiki au ni makusudi??View attachment 2784979
Huyu naye ni wa jalalani.
 
Back
Top Bottom