TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,817
- 3,142
Askofu Mkuu wa KKKT Dayosis ya Singida Dk.Cyprian Hilint (PhD) amependekeza kwamba Rais Samia Aitwe Mama Wa Taifa.
View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1713928660107887071?t=DVh2RNnJeWXToP75ho9YSg&s=19
My Take
Naunga mkono hoja,Samia anastahili hadhi hii.
Kama nawaona Machadema,TEC na Sukuma gang walivyojaa Chuki.
Mwita Waitara: Rais Samia aitwe Mama wa Taifa
Mbunge wa Tarime Vijijini Mhe. Mwita Waitara, amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ndio Rais wa kwanza mwanamke wa Tanzania tulimpa heshima Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyrere, Pia ni raihisi aliyeahidi hakuna kazi itakayosimama na zikaendelea. Pia Mbunge wa Tarime Vijijini anasema Rais...www.jamiiforums.com
Acha ujinga wa kuingiza TEC hapa😕