ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,268
- Thread starter
- #21
Fanya ujulikaneWanajipendekeza wanaojulikana Mimi watanijulia wapi hata kama nikijipendekeza nitapata Bp bure bora nipata Bp yenye malipo.
Fanya ujulikaneWanajipendekeza wanaojulikana Mimi watanijulia wapi hata kama nikijipendekeza nitapata Bp bure bora nipata Bp yenye malipo.
Atapata tuu ,Katiba Mpya inakuletea ugali mezani?
View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1713933635135414643?t=BbF8jyOunTZq6dGlcUJ-MQ&s=19
Lakini mbona unaonekana umekasirika sana?!!! Sie tuliosoma Cuba tumeona kasiriko lako katikati ya kujificha kwakoNimecheka kifala kwa hili jibu mujarabu!
Mama Maria Nyerere ndie Mama yetu wa Taifa.Kwani Baba wa Taifa hakuwa na mke?
Mama Yako wewe,Kwa mchango upi aliotoa kwenye Taifa?Mama Maria Nyerere ndie Mama yetu wa Taifa.
Atapata tuu ,Katiba Mpya inakuletea ugali mezani?
View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1713933635135414643?t=BbF8jyOunTZq6dGlcUJ-MQ&s=19
Askofu Mkuu wa KKKT Dayosis ya Singida Dk.Cyprian Hilint (PhD) amependekeza kwamba Rais Samia Aitwe Mama Wa Taifa.
View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1713928660107887071?t=DVh2RNnJeWXToP75ho9YSg&s=19
My Take
Naunga mkono hoja,Samia anastahili hadhi hii.
Kama nawaona Machadema,TEC na Sukuma gang walivyojaa Chuki.
![]()
Mwita Waitara: Rais Samia aitwe Mama wa Taifa
Mbunge wa Tarime Vijijini Mhe. Mwita Waitara, amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ndio Rais wa kwanza mwanamke wa Tanzania tulimpa heshima Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyrere, Pia ni raihisi aliyeahidi hakuna kazi itakayosimama na zikaendelea. Pia Mbunge wa Tarime Vijijini anasema Rais...www.jamiiforums.com
Askofu Mkuu wa KKKT Dayosis ya Singida Dk.Cyprian Hilint (PhD) amependekeza kwamba Rais Samia Aitwe Mama Wa Taifa.
View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1713928660107887071?t=DVh2RNnJeWXToP75ho9YSg&s=19
My Take
Naunga mkono hoja,Samia anastahili hadhi hii.
Kama nawaona Machadema,TEC na Sukuma gang walivyojaa Chuki.
![]()
Mwita Waitara: Rais Samia aitwe Mama wa Taifa
Mbunge wa Tarime Vijijini Mhe. Mwita Waitara, amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ndio Rais wa kwanza mwanamke wa Tanzania tulimpa heshima Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyrere, Pia ni raihisi aliyeahidi hakuna kazi itakayosimama na zikaendelea. Pia Mbunge wa Tarime Vijijini anasema Rais...www.jamiiforums.com
Itakuwa kutambua mchango wake Kwa TaifaAkiitwa mama wa Taifa ndo itasaidia nini. Mafuta yatashuka bei. Si mnampa ma PHD kila kukicha hayatoshi?
Atapata tuu ,Katiba Mpya inakuletea ugali mezani?
View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1713933635135414643?t=BbF8jyOunTZq6dGlcUJ-MQ&s=19
Mama Yako wewe,Kwa mchango upi aliotoa kwenye Taifa?
Samia is doing wonders hakuna wa kumfikia Hadi Sasa.Utamlinganisha mama Maria na huyo Rais wako? Tatizo mnadharau Sana. Rais wa miaka mitatu mmesha muona Mungu. Endeleeni tu na kiburi chenu bado hamjajifunza. Kuna Rais hapa chawa wake walimfananisha na Nyerere na hata kumdhihaki, ila leo wapo kimya.
Tena na kwa vile ametokea visiwani basi
ITABALANCE vizuri kabisa
Naunga mkono
Linamstahili sana tuuIssue kubalance, Hilo jina la mama wa Taifa linamstahili?. Bora wangesema Bibi Titi Mohamed au Mama Nyerere .
Mchango upi huo? Mfumuko.wa bei na kupanda kwa gharama.za maisha. SGR mkandarasi kala konaItakuwa kutambua mchango wake Kwa Taifa
Ili Katiba Mpya ilete jipya lipi? Katiba Mpya itazuia Rushwa Mahakamani? Itazuia Rushwa Polisi na barabarani? Katiba Mpya italeta Maadili?Majibu Kama haya ndio yanatudhohofisha Kama nchi. Ugali unapatikana kwa juhudi binafsi ila katiba inapatikana kwa utashi wa pamoja akiwamo Rais.