Askofu Kilaini aitwa Dar es Salaam na Kanisa Katoliki

Kilaini atajieleza kwa nani? Wote si wale wale. Kama wana jeuzi na waifunge Benki yao ya Mkombozi
 
Hivi unategemea wangekuwepo viongozi wasafi wangekaa kimya? Utegemee Nyerere R.I.P angenyamaza tu Kwenye suala kama hilo? Viongozi wetu wanakwepa uozo wao hakuna wa kumsaidia mwenzake kwani jamii italipuka na ANBEN, kiwira ,nk walafi Hadi wanakula bila kunawa. Aibu za viongozi wa kiafrika ila Tanzania imekuwa kinara ndani ya Afrika
 
Subirini Mshindo mkubwa utakaotoka kinywani mwa Benjamin William Mkapa wakati ukifika.

Waulizeni Kigoda cha Mwalimu Nyerere....walimualika wakidhani ataogopa na kunywea kama mnavomshambulia hapa na AnBen,Kiwira na blabla zingine.
 
huyu kiulani anatumiwa na ccm kama toilet paper wanatakiwa kumfukuza mara moja kwani ametudhalilisha sana kuchukua pesa za wezi wa ccm
 
Mleta mada unauza gazeti kwa nguvu.
Weka hiyo taarifa hapa kuhusu kilaini kuhojiwa
 
bora tumegundua mapema
mwakani angekuja makanisani na kuanza kubwabwaja kua Pinda ni chaguo la Mungu ka alivyowaingiza watz mjini mwaka 2005
Nitatofautiana nawe kidogo mkuu, alipokuwa akisema JK ni chaguo la Mungu, Kilaini alikuwa ana maana ya kupewa maono ya kuwa JK ndiye amechaguliwa na Mungu, kuja kuizika rasmi CCM na kuwa itamfia mikononi mwake!

Kwa sasa dalili zote ziko wazi kuwa JK anaendelea kuisafishia njia ukawa, ili iweze kuingia madarakani mwaka 2015.

Kwa maana hiyo Kilaini hajakosea aliposema kuwa JK ni chaguo la Mungu, kwa maana ndani ya utawala wake CCM itaanguka, kwa maana hiyo kuleta ukombozi wa kikweli kweli wa watanzania na kwa mara ya kwanza tokea nchi yetu ipate uhuru wake mwaka 1961, watanzania wa kawaida, wataanza kuona manufaa ya rasilimali nyingi sana ambazo Mwenyezi Mungu, amezijaza na kutujaalia ndani ya nchi yetu, kuanzia mwakani 2015!
 
Subirini Mshindo mkubwa utakaotoka kinywani mwa Benjamin William Mkapa wakati ukifika.

Waulizeni Kigoda cha Mwalimu Nyerere....walimualika wakidhani ataogopa na kunywea kama mnavomshambulia hapa na AnBen,Kiwira na blabla zingine.

Kiboko yake Nzee Nkapa ni dogo wa Arumeru yule dogo janja aliyemwua tembo kwa ubua akatorokea upenyo wa nyumba ya nyuma asionwe, tangu hapo amekuwa bubu kabisa.
 
Ili kuiokoa inabidi ajiuzuru/ajiudhuru na uitishwe uchaguzi mapema kabla ya October, 2015.
 
Kilaini atajieleza kwa nani? Wote si wale wale. Kama wana jeuzi na waifunge Benki yao ya Mkombozi


maajab haya yako tanzania tu. sijui huwa wanaubiliana nini lile dhehebu lonaloimiliki hii benki ya kusaidia wizi aka money laundering. au husifiaana kwa kuraise deposit pia kupiga dili likatiki??

katika ufisad huu wa escrow. busara ni watanzania kuzisusa hizi benki kajanja zinazosaidia mafisadi. roman catholics inawahusu hili benki yenu imafacilittate wizi. money laundering. halafu unaingia church na bonge ya biblia kumbe benki yako ni benki fisadi. ppfffuuuu
 
Back
Top Bottom