Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Jamani timu ya dr slaa mko wapi mjibuni Gwajima ili tufahamu mzigo na watu wanne south africa, ni muhimu sana kuufahamu huu mzigo jamani, njooni, jitokezeni mumjibu, kwa nn mpo kimya hivyoooooooo. Mnaogopaaaaaaaaaaaa:bange:

Mshenga hebu rudi utwambie ni mzigo gani..
Je, ni wa maharage?
Au ni wa Limao???
 
Jamani timu ya dr slaa mko wapi mjibuni Gwajima ili tufahamu mzigo na watu wanne south africa, ni muhimu sana kuufahamu huu mzigo jamani, njooni, jitokezeni mumjibu, kwa nn mpo kimya hivyoooooooo. Mnaogopaaaaaaaaaaaa:bange:

Mshenga alimaliza kila kitu, vuruga dr. mihogo, vuruga waliomtuma, vuruga teamslaa yoote, vuruga vimaandamano vya kutengeneza, dr. mihogo kwishneiiiiiiii......!
 
Mshenga alimaliza kila kitu, vuruga dr. mihogo, vuruga waliomtuma, vuruga teamslaa yoote, vuruga vimaandamano vya kutengeneza, dr. mihogo kwishneiiiiiiii......!

Ukiona umeongea kitu halafu wahusika wakakutizama tu, consider yourself stupid. And that is what Gwajima is.
"POWER HUNGRY, CORRUPT, UNETHICAL STUPID MESSENGER OF THE FALLEN"
Sioni sababu ya Mtu mwenye akili kujibizana nae.
"DK AENDELEE KUMPUUZA SABABU SIKU ZAKE NA WENZAKE KUPOTOSHA WACHACHE WASIOFIKIRI IPASAVYO ZINAHESABIKA"
<B>40</B>
 
Slaa kafia wapi sijui,na ile taadhari kuwa jamaa anazo data za mzigo aliovuta Afrika kusini,ndo mzee kanywea jumla
 
Kufuatia tamko la mchungaji Gwajima juu ya mienendo ya Slaa na kuweka wazi mazaifu ya slaa na kuahidi kuyaweka mengi zaidi hadhalani hivi sasa slaa kanywea kama piltoni na kupunguza mikutano yake na vyombo vya habari, asante sana Gwajima.
 
Tunapendekeza Gwanjima achukue nafasi ya marehemu mtoi kugombea Lushoto.Huyu atawafaa sana
 
Tunapendekeza Gwanjima achukue nafasi ya marehemu mtoi kugombea Lushoto.Huyu atawafaa sana

M. Mtoi alikuwa anagombea kwao lushoto kwasababu alikuwa mzaliwa wa huko na vilevile pengine mkazi wa lushoto pia. Sasa huyu gwajima itakaaje hii. Hapa ndio watu waanze kujua tatizo la ushabiki lilivvyo baya hasa kipindi hiki cha uchaguzi. Watu wamesahau kabisa mazuri yote ya Dr. Slaa kwa muda mchache sana simply because of lowassa and gwajima. chadema wameacha mbachao kwa msala upitao.

Gwajima ana shughuli yake ya utapeli na hiyo ndiyo inayompa mkate wake wa kila siku Akina prof. Safari na prof. Baregu sijui walikumbwa na nini mpaka ikafikia nao kutapeliwa na gwajima na wasjue hatima ya chadema baada ya uchaguzi na hata reputation yao mbele ya jamii iliyokuwa inawaamini, Ama kweli njaa mbaya
 
Ukiona umeongea kitu halafu wahusika wakakutizama tu, consider yourself stupid. And that is what Gwajima is.
"POWER HUNGRY, CORRUPT, UNETHICAL STUPID MESSENGER OF THE FALLEN"
Sioni sababu ya Mtu mwenye akili kujibizana nae.
"DK AENDELEE KUMPUUZA SABABU SIKU ZAKE NA WENZAKE KUPOTOSHA WACHACHE WASIOFIKIRI IPASAVYO ZINAHESABIKA"
<B>40</B>

Slaa keshapigwa za shingo
 
Back
Top Bottom