Askofu Gwajima: Rais Magufuli asijaribiwe

Askofu Gwajima: Rais Magufuli asijaribiwe

Haya sasa makamanda jamaa yenu huyu Askofu, kawapa wosia msimjaribu Magufuli.

Teh teh teh
 
wewe ndo una n=gonjera mpuuzi kweli wewe kwanini lowasa apelekwe na huyu wa mv asipelekwe wote ni wezi
Wewe niite mpuuzi, tatizo unataka kuleta ubishi wa mtandaoni wa ulinganishi, huyo Edo atakwenda wewe subiri tu, huyo unayesema wa mv mpelekeni ninyi kama mnaweza
 
Tuchunguze uraia wa Gwajima lkn pia asifanye siasa Kanisani. Ebu aconcentrate na mambo ya imani tu.
 
Wewe niite mpuuzi, tatizo unataka kuleta ubishi wa mtandaoni wa ulinganishi, huyo Edo atakwenda wewe subiri tu, huyo unayesema wa mv mpelekeni ninyi kama mnaweza
nakuita na ntakuita tena na tena kwa sababu ni mpuuzi ndio
 
Wewe niite mpuuzi, tatizo unataka kuleta ubishi wa mtandaoni wa ulinganishi, huyo Edo atakwenda wewe subiri tu, huyo unayesema wa mv mpelekeni ninyi kama mnaweza
hapelekwi kokote we ewndelea kuota maana naona unaishi kwa matumaini..............
 
kiongozi wa dini anasema magu asijaribiwe,ilihali ni MTU anaejua maandiko vzr kwamba nani hajaribiwi!!hlf mnafurahia hiyo kauli??jaribuni kutafakari vzr.gwajima anajua anaongea nn nyie
Hataaandiko yanasema mkuu wa kaya ni mtumishi wa Mungu katika nafasi yake. So ukimjaribu the other way round unamjaribu Mungu.


Warumi 13:1-7
[1]Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.
[2]Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu; nao washindanao watajipatia hukumu.
[3]Kwa maana watawalao hawatishi watu kwa sababu ya matendo mema, bali kwa sababu ya matendo mabaya. Basi, wataka usimwogope mwenye mamlaka? Fanya mema, nawe utapata sifa kwake;
[4]kwa kuwa yeye ni mtumishi wa Mungu kwako kwa ajili ya mema. Lakini ufanyapo mabaya, ogopa; kwa maana hauchukui upanga bure; kwa kuwa ni mtumishi wa Mungu, amlipizaye kisasi mtenda mabaya kwa ajili ya ghadhabu.
[5]Kwa hiyo ni lazima kutii, si kwa sababu ya ile ghadhabu tu, ila na kwa sababu ya dhamiri.
[6]Kwa sababu hiyo tena mwalipa kodi; kwa kuwa wao ni wahudumu wa Mungu, wakidumu katika kazi iyo hiyo.
[7]Wapeni wote haki zao; mtu wa kodi, kodi; mtu wa ushuru, ushuru; astahiliye hofu, hofu; astahiliye heshima, heshima. Upendo



Warumi 14:4
[4]Wewe u nani unayemhukumu mtumishi wa mwingine? Kwa bwana wake mwenyewe yeye husimama au huanguka. Naam, atasimamishwa, kwa kuwa Bwana aweza kumsimamisha.
 
Back
Top Bottom