TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,870
- 5,755
Gwajima asisitiza Magufuli ni mzalendo mwenye maamuzi yenye tija. Lusekelo naye anena, asema Rais apewe nafasi afanye kazi.
Lazima apelekwe,Yeye na Rostam ndio watakuwa watu wa mwanzo kupelekwa.Magufuli oyee!, hapo mzee mamvi anamuomba asipelekwe kwenye mahakama ya mafisadi.
Gwajima asisitiza Magufuli ni mzalendo mwenye maamuzi yenye tija. Lusekelo naye anena, asema rais apewe nafasi afanye kazi
View attachment 389025
Mkamanda wameingia ganzi toka jana umeona posts za UKUTA humu?Sijui Leo Makamanda watamuita tena Chekibobu Ngwajima kuwa ni shujaa kama wanavyo muita kila leo?
Hata wao wana UKUTA wanajua kazi nzuri anayofanya rais Dr. JPM, basi tu shobo zao. Jana si umemuona mzee Ma-mvi sasa sijui watamuita msaliti.Ninyi mnaosema mnashindwa kumuelewa Gwajima kwa kusema Magufuli asijaribiwe mnataka asemeje?Mnataka aseme mjaribuni rais?Kuna misimamo mingine haifai kuungwa mkono kama ile ya maandamano ya ukuta.Ni mapema sana kuanzisha mitafaruku kama hiyo wakati tunaona mh Rais anavyojitahidi kurudisha nidhamu iliyopotea kwenye utumishi wa umma na kufuta mazoea ya wizi yaliyozoeleka serikalini na kwenye chama chake cha siasa.Tunahitaji kuwa kitu kimoja na kumuunga mkono mh Rais licha ya madhaifu yake.Tunaweza kuwa na njia mbadala ya kupinga lakini si hii ya kulazimisha mapambano na vyombo vya dola kwa kukiuka amri za jeshi la polisi
Soma fungu ilo vizuri Mungu ameruhusu tumjaribu na njia ametupa ya kumjaribuWewe ndo unamjaribu Mungu
Sasa unamjaribu rais ili iweje? Mradi tu unamjaribu? Ni ujinga Ujinga tu.kiongozi wa dini anasema magu asijaribiwe,ilihali ni MTU anaejua maandiko vzr kwamba nani hajaribiwi!!hlf mnafurahia hiyo kauli??jaribuni kutafakari vzr.gwajima anajua anaongea nn nyie
Mungu anajaribiwa kwa kazi njema Na siyo ovu au mbayaHajaribiwi yeye nani, hata Mungu anajaribiwa
Soma bible kitabu cha Malaki 3:10
Kwani nani anamjaribu kwa baya?Mungu anajaribiwa kwa kazi njema Na siyo ovu au mbaya
Ninyi mnaosema mnashindwa kumuelewa Gwajima kwa kusema Magufuli asijaribiwe mnataka asemeje?Mnataka aseme mjaribuni rais?Kuna misimamo mingine haifai kuungwa mkono kama ile ya maandamano ya ukuta.Ni mapema sana kuanzisha mitafaruku kama hiyo wakati tunaona mh Rais anavyojitahidi kurudisha nidhamu iliyopotea kwenye utumishi wa umma na kufuta mazoea ya wizi yaliyozoeleka serikalini na kwenye chama chake cha siasa.Tunahitaji kuwa kitu kimoja na kumuunga mkono mh Rais licha ya madhaifu yake.Tunaweza kuwa na njia mbadala ya kupinga lakini si hii ya kulazimisha mapambano na vyombo vya dola kwa kukiuka amri za jeshi la polisi