Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 11,355
- 13,887
Na nyie leomnamuona Shujaa?Sijui Leo Makamanda watamuita tena Chekibobu Ngwajima kuwa ni shujaa kama wanavyo muita kila leo?
Na nyie leomnamuona Shujaa?Sijui Leo Makamanda watamuita tena Chekibobu Ngwajima kuwa ni shujaa kama wanavyo muita kila leo?
Ni Kamanda mwenye upako.Ila huyu Gwajima sidhani kama nati zote zimekaza pale juu, sijui wanaomuabudu wanafuata nini! Kweli nguvu za giza zipo.
Ndio Mkuu pls kama waweza nisaidia basi itakuwa kheri.Leo ndio inataka kujua mkoa wa gwajima kha?
Kesho akiishabikia Chadema na useme hivyo hivyoGwajima, mzee wa fursaaaa
Ninyi mnaosema mnashindwa kumuelewa Gwajima kwa kusema Magufuli asijaribiwe mnataka asemeje?Mnataka aseme mjaribuni rais?Kuna misimamo mingine haifai kuungwa mkono kama ile ya maandamano ya ukuta.Ni mapema sana kuanzisha mitafaruku kama hiyo wakati tunaona mh Rais anavyojitahidi kurudisha nidhamu iliyopotea kwenye utumishi wa umma na kufuta mazoea ya wizi yaliyozoeleka serikalini na kwenye chama chake cha siasa.Tunahitaji kuwa kitu kimoja na kumuunga mkono mh Rais licha ya madhaifu yake.Tunaweza kuwa na njia mbadala ya kupinga lakini si hii ya kulazimisha mapambano na vyombo vya dola kwa kukiuka amri za jeshi la polisi
MBONA YEYE ANATUJARIBU MARA NA ASIYE FANYA KAZI NA ASILE MARA TUMEKUSANYA PESA KUTOKA KWA MAFISADI MARA TUMEKUSANYA KODI KUTOKA KWA WAKWEPA KODI MARA KILA JUMAMOSI YA MWISHO WA MWEZI NI SIKU YA USAFI KWANINI ASILIPIE WANAOFANYA USAFI MARA TUCHANGIE MADAWATI SIJUI KODI INAYOKUSANYWA INAFANYA NINI AU NDIO MAJUBILEI YA BABA WA UBATIZO WA URAIS GWAJIMA ACHENI KUTUJARIBU SIE WATAZAMAJI WA MOVIEGwajima asisitiza Magufuli ni mzalendo mwenye maamuzi yenye tija. Lusekelo naye anena, asema rais apewe nafasi afanye kazi
View attachment 389025
Hajazuia mikutano ya siasa. Sema hamuelewi tu. Mnakuza mambo kijinga jinga. Mbona mikutano inafanyika mpaka sasa. Lakini kwa sababu mnataka kupambana na polisi. Basi matokeo ndio hayo. Polisi hawa wapo kwa ajili yetu. Kama tunakaa na kuelewana nao mbona hawana shida. Lakini kwanza ni lazima tutii sheria bila shurutiAfanye yote,ila aachie demokrasia na mikutano ya kisiasa!cha msingi wanasiasa wafuate kanuni
Ukuta maana yake nini. Una faida gani kwa taifa kwa sasa. Nipe faida tano tu.hatuwezi poteza muda wetu kwa kitu kisicho na faida na tija kamwe.kwani UKUTA ni mtafaruku mkuu?...unaielewa dhana ya ukuta...sio fujo ni maandamano ya amani au toa hiyo njia mbadala uliyoisema ili itumike.
Kama sio korodani zimepashwa moto ma mshumaa basi ni kwasababu ya ule usemi maarufu wa 'penye udhia tia shekeli'Gwajima asisitiza Magufuli ni mzalendo mwenye maamuzi yenye tija. Lusekelo naye anena, asema rais apewe nafasi afanye kazi
View attachment 389025
Hapo sasa Gwajima anaonekana ni mnafiki aliepitiliza badala aseme ukweli kuwa sheria na haki za kikatiba zifuatwe anaongea kufurahisha upande fulani, viongozi wa namna hii mhhh kazi kweli huyu ni kiongozi wa dini au msaka tonge.kiongozi wa dini anasema magu asijaribiwe,ilihali ni MTU anaejua maandiko vzr kwamba nani hajaribiwi!!hlf mnafurahia hiyo kauli??jaribuni kutafakari vzr.gwajima anajua anaongea nn nyie
Dawa yake ni UKUTA tuu maana hakuna namna nyingine, welcome Sept 1Ninyi mnaosema mnashindwa kumuelewa Gwajima kwa kusema Magufuli asijaribiwe mnataka asemeje?Mnataka aseme mjaribuni rais?Kuna misimamo mingine haifai kuungwa mkono kama ile ya maandamano ya ukuta.Ni mapema sana kuanzisha mitafaruku kama hiyo wakati tunaona mh Rais anavyojitahidi kurudisha nidhamu iliyopotea kwenye utumishi wa umma na kufuta mazoea ya wizi yaliyozoeleka serikalini na kwenye chama chake cha siasa.Tunahitaji kuwa kitu kimoja na kumuunga mkono mh Rais licha ya madhaifu yake.Tunaweza kuwa na njia mbadala ya kupinga lakini si hii ya kulazimisha mapambano na vyombo vya dola kwa kukiuka amri za jeshi la polisi