Askofu Gwajima: Rais Magufuli asijaribiwe

Askofu Gwajima: Rais Magufuli asijaribiwe

Mkamanda wameingia ganzi toka jana umeona posts za UKUTA humu?
Wamemuona mfadhili mkuu wa UKUTA anakunywa mvinyo,na mabosi wa ccm,ufipa wamechanganyikiwa

Yaaani wamesinyaa kama wamekunywa piliton
 
Wamejaribiwa kina Yesu na mitume, Magufuli ni mungu gani asijaribiwe?
 
Hajaribiwi yeye nani, hata Mungu anajaribiwa
Soma bible kitabu cha Malaki 3:10[/QUOTE
Mkuu soma kwa kujipa nafaśi, huko kujarib ni kwa matoleo, ikitumika kama test si jaribu kama atemp linavyotumika mwanzo na yakobo..

Hvyo Mungu hajalibiwi kwa maana ya ATEMPTATION na anajatubiwa kwa maana ya test...

Asante mkuu
 
Kama hii habari ni ya kweli hebu tuwekee hiyo Clip akizungumza Gwajima.

Sidhani kama Gwajima amesema hivyo.
 
kwani kikwete alipo msalimia magufuli jana alikuwa akimuomba jpm asimpeleke ktk mahakama ya mafisadi?
Kaa ukijua lazima apelekwe,JPM hatanii. Si huwa mnasema mbona hapelekwi Mahakamani, sasa mtafurahi wenyewe.
 
Back
Top Bottom