Certificate of Recognition ya kukata mauno akiwala kondoo wake labda! Huko nje inajulikana kama Certificate ya porno. Kweli hii ndiyo sifa ya kumpa ubunge Kawe, astaghfirrullah!Askofu Gwajima Alipata certificate of recognition from the mayor of The city of Birmingham Milka Kayla hajagombea , sana hapo kinachoshangaza ni nini?
Certificate of Recognition ya kukata mauno akiwala kondoo wake labda! Huko nje inajulikana kama Certificate ya porno. Kweli hii ndiyo sifa ya kumpa ubunge Kawe, astaghfirrullah!
Sawa mkuu....Gwajima anafanya mambo kwa kutumia akili saaana
ukuja kusema ni kiongozi tapeli unaenda sehem ambao siyo maana kiongozi mzuri ni yule anayejua kuwaongoza watu vizur na wananchi wake wanamfurahia ka huduma anazozitoa
ukienda kuangalia mambo mengine gwajima aliyoyafanya kwa wananchi wa kawe mpaka wanamkubali
Daaa... Haya maccm yanaona watz bado malofa snMgombea mwingine mwongo kuliko Ni Ummy Mwalimu."Ndani ya Miaka mitano Tanga itakuwa Kama Singapore" huu Ni uongo kiwango Cha Lami
Huyo Askofu tapeli Gwajima mpigeni chini fasta.....Utapigwa chini wewe kawe lazima twende na Gwajima
Sawa, ameshapewa ubunge na Magufuli, tunakumbusha ahadi ni deni.Angeahidi mtu ambaye hajawahi kwenda USA au kufika Japan ingeonekana ni mambo ya kufikirika. Gwajima amekuwa Marekani na ana marafiki Marekani, amekuwa Japan na ana marafiki huko.
Tatizo hapa ni kwa sababu nyie hamkuwahi kufika huko ndo maana mnaona haiwezekani.
Ni mbunge wa bunge la Jamhuri . Ukisema huyo jamaa ni comedian unamaanisha hata aliyemchagua ni comedy pia.Gwajima mi namuona kama mchekeshaji flani tu hivi...
Bado tunaandaa viza zao,tutawapeleka marekani kiroho sio kimwiliDaaa... Haya maccm yanaona watz bado malofa sn
Shein alisemaga ataifanya Zanzibar kua km Dubai na majuzi tapeli mwingine magufuli kasema ataifanya Tanzania kua km ulaya. Gwajima the porn master anawabia wanakawe atawapeleka marekani
Anasubiri "mgogoro" wa nani kachaguliwa kua Rais wa Marekani umalizike ndio atekeleze ahadi yake, maana kama mnavyojua tena Biden anaonekana kashinda huku Trump akidai mshindi ni yeye. Sasa hapo wananchi wa Kawe nani atawapokea pale US?😂😂😂Sawa, ameshapewa ubunge na Magufuli, tunakumbusha ahadi ni deni.
Ccm ni chama cha kishetaniBado tunaandaa viza zao,tutawapeleka marekani kiroho sio kimwili