Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima na ahadi ya kutupeleka USA

Askofu Dr Gwajima kamaliza form four mwaka 1993,mwaka 1994 kamaliza Advance Diploma in Bible & Theology.Najiuliza mtu wa form 4 kajiunga na chuo ndani ya mwaka mmoja kavuta Advance Diploma !.
 
Heshima sana wanajamvi,

Askofu Mkuu sana Dkt. Gwajima kaja na style ya aina yake katika kuomba kura jimbo la Kawe.

Mosi Dr Gwajima kaja na ahadi ya kutuletea maboat ya uvuvi vijana wa Kawe. Vijana wote wa Kawe wajiandae kuvua samaki katika Bahari kuu ya Hindi.Hii ni habari njema hasa vijana wetu wasiokuwa na ajira wajiandae kupata ajira ya kuvua samaki.

Pili kabla ahadi ya kuvua haijatulia katuletea ahadi nyingine tena ya kutupeleka USA baby kule anakoishi Nyani Ngabu yaani ni raha juu ya raha ikiwa wewe ni mkaazi au mpiga kura wa Kawe.Mimi mwenyewe nafanya mpango wa kuhamia Kawe nani asiyetaka kwenda USA !.

Ahadi za Askofu Dr Gwajima ni nyingi na tamu tamu kusikia na kusikiliza lakini napata ukakasi kama kweli ana uwezo wa kuzitekeleza.Nadhani nia yake kubwa ni kupata ubunge akishaupata mambo mengine yatajiset yenyewe.

Hii si mara ya kwanza Askofu Dr Gwajima kutoa ahadi ambazo hazina kichwa wala miguu,kuna ahadi ya tren ya umeme sijui imetekelezwa kwa kiwango gani ?.Kuna ahadi kugeuza madrasa na misikiti kuwa Sunday school sijui mpaka sasa ngapi zimeshageuzwa.Kuna ahadi ya kufufua misukule sijui kama kuna ndugu anaweza kuja hapa na kutupatia ushuhuda wa ndugu yake alinyofolewa katika minyororo ya usukule.

Ngongo safari Bukoba kwasasa nipo sokoni Katerero kwa nshomile wapo gado kweli kweli.
20200917_162543.jpg
 
Nimemsikia anasema Mwaka jana aliwachukua vijana wa Kawe ambao ni wasanii akawapeleka Chuo Uholanzi baadae akawapeleka Ufaransa tena akawahamishia Japani mwisho akawapeleka Korea Kusini mpaka Sasa Wana connection kibao na wasanii wakubwa wakubwa duniani.

Jamaa anadanganya hadi anapitiliza, Sijui anaona wapiga sawa tu na waumini wake tu.
 
Heshima sana wanajamvi,

Askofu Mkuu sana Dkt. Gwajima kaja na style ya aina yake katika kuomba kura jimbo la Kawe.

Mosi Dr Gwajima kaja na ahadi ya kutuletea maboat ya uvuvi vijana wa Kawe. Vijana wote wa Kawe wajiandae kuvua samaki katika Bahari kuu ya Hindi.Hii ni habari njema hasa vijana wetu wasiokuwa na ajira wajiandae kupata ajira ya kuvua samaki.

Pili kabla ahadi ya kuvua haijatulia katuletea ahadi nyingine tena ya kutupeleka USA baby kule anakoishi Nyani Ngabu yaani ni raha juu ya raha ikiwa wewe ni mkaazi au mpiga kura wa Kawe.Mimi mwenyewe nafanya mpango wa kuhamia Kawe nani asiyetaka kwenda USA !.

Ahadi za Askofu Dr Gwajima ni nyingi na tamu tamu kusikia na kusikiliza lakini napata ukakasi kama kweli ana uwezo wa kuzitekeleza.Nadhani nia yake kubwa ni kupata ubunge akishaupata mambo mengine yatajiset yenyewe.

Hii si mara ya kwanza Askofu Dr Gwajima kutoa ahadi ambazo hazina kichwa wala miguu,kuna ahadi ya tren ya umeme sijui imetekelezwa kwa kiwango gani ?.Kuna ahadi kugeuza madrasa na misikiti kuwa Sunday school sijui mpaka sasa ngapi zimeshageuzwa.Kuna ahadi ya kufufua misukule sijui kama kuna ndugu anaweza kuja hapa na kutupatia ushuhuda wa ndugu yake alinyofolewa katika minyororo ya usukule.

Ngongo safari Bukoba kwasasa nipo sokoni Katerero kwa nshomile wapo gado kweli kweli.
Huyu askofu hafai ubunge.
 
Askofu Gwajima nadhani hakufanya utafiti kwanza kujua ni nini nahitaji wa wana Kawe ama hajui mipaka ya kijiografia ya Kawe wala composition ya wakazi wa Kawe.
Pamoja na kwamba jimbo la Kawe linapakana na bahari lakini shughuli kuu za kiuchumi kwa zaidi 95% siyo uvuvi. Lakini anaahidi kununua boti na kuwapeleka vijana Japani kwenye mafunzo ya uvuvi.
 
Heshima sana wanajamvi,

Askofu Mkuu sana Dkt. Gwajima kaja na style ya aina yake katika kuomba kura jimbo la Kawe.

Mosi Dr Gwajima kaja na ahadi ya kutuletea maboat ya uvuvi vijana wa Kawe. Vijana wote wa Kawe wajiandae kuvua samaki katika Bahari kuu ya Hindi.Hii ni habari njema hasa vijana wetu wasiokuwa na ajira wajiandae kupata ajira ya kuvua samaki.

Pili kabla ahadi ya kuvua haijatulia katuletea ahadi nyingine tena ya kutupeleka USA baby kule anakoishi Nyani Ngabu yaani ni raha juu ya raha ikiwa wewe ni mkaazi au mpiga kura wa Kawe.Mimi mwenyewe nafanya mpango wa kuhamia Kawe nani asiyetaka kwenda USA !.

Ahadi za Askofu Dr Gwajima ni nyingi na tamu tamu kusikia na kusikiliza lakini napata ukakasi kama kweli ana uwezo wa kuzitekeleza.Nadhani nia yake kubwa ni kupata ubunge akishaupata mambo mengine yatajiset yenyewe.

Hii si mara ya kwanza Askofu Dr Gwajima kutoa ahadi ambazo hazina kichwa wala miguu,kuna ahadi ya tren ya umeme sijui imetekelezwa kwa kiwango gani ?.Kuna ahadi kugeuza madrasa na misikiti kuwa Sunday school sijui mpaka sasa ngapi zimeshageuzwa.Kuna ahadi ya kufufua misukule sijui kama kuna ndugu anaweza kuja hapa na kutupatia ushuhuda wa ndugu yake alinyofolewa katika minyororo ya usukule.

Ngongo safari Bukoba kwasasa nipo sokoni Katerero kwa nshomile wapo gado kweli kweli.

Ujue Mambo kweli ni Magumu. hivi kipindindi cha bunge nani atakua anatoa huduma kanisani kwake? naowaona wale mnaosema wasaidizi wake
 
Back
Top Bottom