Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima na ahadi ya kutupeleka USA

Heshima sana wanajamvi,

Askofu Mkuu sana Dkt. Gwajima kaja na style ya aina yake katika kuomba kura jimbo la Kawe.

Mosi Dr Gwajima kaja na ahadi ya kutuletea maboat ya uvuvi vijana wa Kawe. Vijana wote wa Kawe wajiandae kuvua samaki katika Bahari kuu ya Hindi.Hii ni habari njema hasa vijana wetu wasiokuwa na ajira wajiandae kupata ajira ya kuvua samaki.

Pili kabla ahadi ya kuvua haijatulia katuletea ahadi nyingine tena ya kutupeleka USA baby kule anakoishi Nyani Ngabu yaani ni raha juu ya raha ikiwa wewe ni mkaazi au mpiga kura wa Kawe.Mimi mwenyewe nafanya mpango wa kuhamia Kawe nani asiyetaka kwenda USA !.

Ahadi za Askofu Dr Gwajima ni nyingi na tamu tamu kusikia na kusikiliza lakini napata ukakasi kama kweli ana uwezo wa kuzitekeleza.Nadhani nia yake kubwa ni kupata ubunge akishaupata mambo mengine yatajiset yenyewe.

Hii si mara ya kwanza Askofu Dr Gwajima kutoa ahadi ambazo hazina kichwa wala miguu,kuna ahadi ya tren ya umeme sijui imetekelezwa kwa kiwango gani ?.Kuna ahadi kugeuza madrasa na misikiti kuwa Sunday school sijui mpaka sasa ngapi zimeshageuzwa.Kuna ahadi ya kufufua misukule sijui kama kuna ndugu anaweza kuja hapa na kutupatia ushuhuda wa ndugu yake alinyofolewa katika minyororo ya usukule.

Ngongo safari Bukoba kwasasa nipo sokoni Katerero kwa nshomile wapo gado kweli kweli.
Miaka 59 ya UHURU tuna vyote hivi;

Mount Kilimanjaro

Serengeti National Park

Mikumi

Ziwa Victoria, Tanganyika

Makaa ya mawe Songea

Bandari ya DSM

Gesi ya Mtwara

Almasi

Tanzanite

Dhahabu

Bado CCM imeshindwa kumpa mwananchi MAJI ya kunywa safi na salama tu
 
Huyo Askofu tapeli Gwajima mpigeni chini fasta.....

Kwanza yuko bize anaratibu kikundi chake cha kikabila yy na makonda.....

Nitawashangaa mkimchahua mcheza porn huyu.....

Piga chini hii ng'ombe mdini na mkabila huyo abaki na hicho kikundi cha kigaidi na waumini wake ambao wapo km mang'ombe
Utapigwa chini wewe kawe lazima twende na Gwajima
 
Heshima sana wanajamvi,

Askofu Mkuu sana Dkt. Gwajima kaja na style ya aina yake katika kuomba kura jimbo la Kawe.

Mosi Dr Gwajima kaja na ahadi ya kutuletea maboat ya uvuvi vijana wa Kawe. Vijana wote wa Kawe wajiandae kuvua samaki katika Bahari kuu ya Hindi.Hii ni habari njema hasa vijana wetu wasiokuwa na ajira wajiandae kupata ajira ya kuvua samaki.

Pili kabla ahadi ya kuvua haijatulia katuletea ahadi nyingine tena ya kutupeleka USA baby kule anakoishi Nyani Ngabu yaani ni raha juu ya raha ikiwa wewe ni mkaazi au mpiga kura wa Kawe.Mimi mwenyewe nafanya mpango wa kuhamia Kawe nani asiyetaka kwenda USA !.

Ahadi za Askofu Dr Gwajima ni nyingi na tamu tamu kusikia na kusikiliza lakini napata ukakasi kama kweli ana uwezo wa kuzitekeleza.Nadhani nia yake kubwa ni kupata ubunge akishaupata mambo mengine yatajiset yenyewe.

Hii si mara ya kwanza Askofu Dr Gwajima kutoa ahadi ambazo hazina kichwa wala miguu,kuna ahadi ya tren ya umeme sijui imetekelezwa kwa kiwango gani ?.Kuna ahadi kugeuza madrasa na misikiti kuwa Sunday school sijui mpaka sasa ngapi zimeshageuzwa.Kuna ahadi ya kufufua misukule sijui kama kuna ndugu anaweza kuja hapa na kutupatia ushuhuda wa ndugu yake alinyofolewa katika minyororo ya usukule.

Ngongo safari Bukoba kwasasa nipo sokoni Katerero kwa nshomile wapo gado kweli kweli.

Hizo ahadi kama alikupa wewe chumbani ni sawa lakini ahadi zote ambazo anaahidi jukwaani sisi kama wana Kawe tunaimani atazitekeleza.
 
Askofu Gwajima nadhani hakufanya utafiti kwanza kujua ni nini nahitaji wa wana Kawe ama hajui mipaka ya kijiografia ya Kawe wala composition ya wakazi wa Kawe.
Pamoja na kwamba jimbo la Kawe linapakana na bahari lakini shughuli kuu za kiuchumi kwa zaidi 95% siyo uvuvi. Lakini anaahidi kununua boti na kuwapeleka vijana Japani kwenye mafunzo ya uvuvi.
Gwajima ameona fursa ya Bahari mwanaume kujiongeza wewe akili yako imeishia hapo hujielewi
 
Nimemsikia anasema Mwaka jana aliwachukua vijana wa Kawe ambao ni wasanii akawapeleka Chuo Uholanzi baadae akawapeleka Ufaransa tena akawahamishia Japani mwisho akawapeleka Korea Kusini mpaka Sasa Wana connection kibao na wasanii wakubwa wakubwa duniani.

Jamaa anadanganya hadi anapitiliza, Sijui anaona wapiga sawa tu na waumini wake tu.
Watu huwa mnakurupuka kama mmetoka kufumaniwa ukisikiliza ulitaka akupeleke wewe
 
Nimeshajipanga ina maana nitaenda kituoni kupiga kura na begi kabisa ili namaliza kupiga kura moja kwa moja airport ili tufike huko Marekani mapema.
Wale wanaokaaa pembezoni mwa bahari wao hawataenda Marekani wao watapewa boti za kuvulia Samaki,Wale ambao senemu zao zina barabara mbovu pia hawataenda US wao watapewa Greda la kutengeneza barabara,wale wa maeneo yasiyokuwa na changamoto na barabara Wala hawapo baharini hao ndo watapelekwa US.
Hakuna kudanganyika kijinga
 
Kwa utopolo alioufanya Mdee, Kawe kwa miaka 10, wacha tuende na Gwajima. Itoshe kusema katika aliyosema alichokua anakosa ili afanikiwe kuyatekeleza ni nafasi ya Ubunge. Nafikiri tukimpatia dhamana angalau kwa miaka 5 ndio tuanze kuhoji kwa nini hajafanikiwa. Tumpe Gwajima Kawe
 
Huyo Askofu tapeli Gwajima mpigeni chini fasta.....

Kwanza yuko bize anaratibu kikundi chake cha kikabila yy na makonda.....

Nitawashangaa mkimchahua mcheza porn huyu.....

Piga chini hii ng'ombe mdini na mkabila huyo abaki na hicho kikundi cha kigaidi na waumini wake ambao wapo km mang'ombe
Mgombea mwingine mwongo kuliko Ni Ummy Mwalimu."Ndani ya Miaka mitano Tanga itakuwa Kama Singapore" huu Ni uongo kiwango Cha Lami
 
Huyo Askofu tapeli Gwajima mpigeni chini fasta.....

Kwanza yuko bize anaratibu kikundi chake cha kikabila yy na makonda.....

Nitawashangaa mkimchahua mcheza porn huyu.....

Piga chini hii ng'ombe mdini na mkabila huyo abaki na hicho kikundi cha kigaidi na waumini wake ambao wapo km mang'ombe
Gwajima anafanya mambo kwa kutumia akili saaana
ukuja kusema ni kiongozi tapeli unaenda sehem ambao siyo maana kiongozi mzuri ni yule anayejua kuwaongoza watu vizur na wananchi wake wanamfurahia ka huduma anazozitoa

ukienda kuangalia mambo mengine gwajima aliyoyafanya kwa wananchi wa kawe mpaka wanamkubali
 
Heshima sana wanajamvi,

Askofu Mkuu sana Dkt. Gwajima kaja na style ya aina yake katika kuomba kura jimbo la Kawe.

Mosi Dr Gwajima kaja na ahadi ya kutuletea maboat ya uvuvi vijana wa Kawe. Vijana wote wa Kawe wajiandae kuvua samaki katika Bahari kuu ya Hindi.Hii ni habari njema hasa vijana wetu wasiokuwa na ajira wajiandae kupata ajira ya kuvua samaki.

Pili kabla ahadi ya kuvua haijatulia katuletea ahadi nyingine tena ya kutupeleka USA baby kule anakoishi Nyani Ngabu yaani ni raha juu ya raha ikiwa wewe ni mkaazi au mpiga kura wa Kawe.Mimi mwenyewe nafanya mpango wa kuhamia Kawe nani asiyetaka kwenda USA !.

Ahadi za Askofu Dr Gwajima ni nyingi na tamu tamu kusikia na kusikiliza lakini napata ukakasi kama kweli ana uwezo wa kuzitekeleza.Nadhani nia yake kubwa ni kupata ubunge akishaupata mambo mengine yatajiset yenyewe.

Hii si mara ya kwanza Askofu Dr Gwajima kutoa ahadi ambazo hazina kichwa wala miguu,kuna ahadi ya tren ya umeme sijui imetekelezwa kwa kiwango gani ?.Kuna ahadi kugeuza madrasa na misikiti kuwa Sunday school sijui mpaka sasa ngapi zimeshageuzwa.Kuna ahadi ya kufufua misukule sijui kama kuna ndugu anaweza kuja hapa na kutupatia ushuhuda wa ndugu yake alinyofolewa katika minyororo ya usukule.

Ngongo safari Bukoba kwasasa nipo sokoni Katerero kwa nshomile wapo gado kweli kweli.
Kwani anahitaji kuwa mbunge ndipo atoe hizoahadi. Kama ana uwezo wa kufanya hivyo kwa nini asubiri kwanza apate ubunge ndipo afanye?
 
Angeahidi mtu ambaye hajawahi kwenda USA au kufika Japan ingeonekana ni mambo ya kufikirika. Gwajima amekuwa Marekani na ana marafiki Marekani, amekuwa Japan na ana marafiki huko.

Tatizo hapa ni kwa sababu nyie hamkuwahi kufika huko ndo maana mnaona haiwezekani.
 
Heshima sana wanajamvi,

Askofu Mkuu sana Dkt. Gwajima kaja na style ya aina yake katika kuomba kura jimbo la Kawe.

Mosi Dr Gwajima kaja na ahadi ya kutuletea maboat ya uvuvi vijana wa Kawe. Vijana wote wa Kawe wajiandae kuvua samaki katika Bahari kuu ya Hindi.Hii ni habari njema hasa vijana wetu wasiokuwa na ajira wajiandae kupata ajira ya kuvua samaki.

Pili kabla ahadi ya kuvua haijatulia katuletea ahadi nyingine tena ya kutupeleka USA baby kule anakoishi Nyani Ngabu yaani ni raha juu ya raha ikiwa wewe ni mkaazi au mpiga kura wa Kawe.Mimi mwenyewe nafanya mpango wa kuhamia Kawe nani asiyetaka kwenda USA !.

Ahadi za Askofu Dr Gwajima ni nyingi na tamu tamu kusikia na kusikiliza lakini napata ukakasi kama kweli ana uwezo wa kuzitekeleza.Nadhani nia yake kubwa ni kupata ubunge akishaupata mambo mengine yatajiset yenyewe.

Hii si mara ya kwanza Askofu Dr Gwajima kutoa ahadi ambazo hazina kichwa wala miguu,kuna ahadi ya tren ya umeme sijui imetekelezwa kwa kiwango gani ?.Kuna ahadi kugeuza madrasa na misikiti kuwa Sunday school sijui mpaka sasa ngapi zimeshageuzwa.Kuna ahadi ya kufufua misukule sijui kama kuna ndugu anaweza kuja hapa na kutupatia ushuhuda wa ndugu yake alinyofolewa katika minyororo ya usukule.

Ngongo safari Bukoba kwasasa nipo sokoni Katerero kwa nshomile wapo gado kweli kweli.

Sera Za Askofu Josephat Gwajima nimezielewa sana tatizo ni mmoja tu, hatujawahi kupata MGombea ubunge mwenye vision na drive kama hyu baba . Ndio maaana watu wengi wanabadilisha maneno Yake na kufanya kejeli.
Ahadi ya kupeleka watu marekani ni kitu kizuri sana na kina wezekana kabisa na kimekuwa kinafanyika Miaka Mingi sana . Chuo cha UDSM wanatumia program Hiyo pia kwa wanafunzi wake ilikuzidi kuimarisha taaluma zaO. Ni mambo Dogo na JePepsi, Mji wa Birmingham unaweza kusaidia jimbo la KAWE endapo mbunge were na mayor wako wakishafika stage ya kuandika MOU .
Askofu Gwajima Alipata certificate of recognition from the mayor of The city of Birmingham Milka Kayla hajagombea , sana hapo kinachoshangaza ni nini?

Akili Za watanzania wengine zimezLea mambo MaDogo Ukiambiwa jambo kubwa akili inashindwa kuhimiri ndio wewe hapo sana
 
Back
Top Bottom