msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,207
- 7,727
Hata Papa fransis nae ni kiongozi wa kiroho na analosema linatoka kwa Mungu pia
Jaribu uone nenda pale kanisani kama hujarudi umeshika bukta mkononi.Sasa anapambana na system nzima na ccm,atakaa tu na ma uchawi yake
Alishindwa kumfufua Mwendazake huyu tapeli.Kesho askofu wa kanisa la ufufuo na uzima atawasha moto juu ya chanjo ya corona ambayo tayari imezinduliwa tarehe 29.07.2021 na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimia SAMIA SULUHU HASSAN , watu mbalimbali ambao ni wakaribu na askofu kwa tetesi zilizopo amesema hawezi kubadili msimamo wake wa chanjo ya corona kwa kuwa yeye ni kiongozi wa kiroho na anayoyasema hutoka kwa mungu ; kwa kauli hizi nadhani ni wakati sasa serikali kujitafakari upya kutomjibu kiongozi wa kiroho ambaye huongwa kiimani tabia za vijana wa ccm kumshambulia kiongozi huyo ni utovu wa nidhamu kwa viongozi wa kiroho kwa ujumla ! Dini na siasa ni kama mafta na maji mwacheni kiongozi huo awalishe kondoo wake kama alivyoelekezwa na mungu.View attachment 1875481
Nawaona wasiojulikana wakihangaika kutafuta mbinu kumminyaKesho askofu wa kanisa la ufufuo na uzima atawasha moto juu ya chanjo ya corona ambayo tayari imezinduliwa tarehe 29.07.2021 na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimia SAMIA SULUHU HASSAN , watu mbalimbali ambao ni wakaribu na askofu kwa tetesi zilizopo amesema hawezi kubadili msimamo wake wa chanjo ya corona kwa kuwa yeye ni kiongozi wa kiroho na anayoyasema hutoka kwa mungu ; kwa kauli hizi nadhani ni wakati sasa serikali kujitafakari upya kutomjibu kiongozi wa kiroho ambaye huongwa kiimani tabia za vijana wa ccm kumshambulia kiongozi huyo ni utovu wa nidhamu kwa viongozi wa kiroho kwa ujumla ! Dini na siasa ni kama mafta na maji mwacheni kiongozi huo awalishe kondoo wake kama alivyoelekezwa na mungu.View attachment 1875481
Huyu Ni Kama Yule Niguse Ninuke!😂😁😀Naona maccm wanamuogopa sana huyu ZWAZWA na yeye kaliona hilo sasa kaamua KULIPUKA.
Huyu Ni Kama Yule Niguse Ninuke!😂😁😀
Kesho Anaipasua Ccm Maana Iko Pande Mbili Kama HapaItakuwa raha sana kesho kama atamlipua tena wa KUDEMKA.
HAKUNA shida....Shida ni kwamba hata wakimfukuza uanachama bado ataendelea kuwa mbunge kama Mdee na wenzake
Futa 😂😁😀😃😄😅😅😅Kesho pale kijiweni kwake ataichambua vizuri amfifiro inavyofanya kazi kwenye corona virus....
CCM imfukuze ndugu huyu....Big up SASHA.
Go on GWAJIBOY.
Good move so far.
-Kaveli-
Gwajiuno anatapika maccm yameufyata.Naona maccm wanamuogopa sana huyu ZWAZWA na yeye kaliona hilo sasa kaamua KULIPUKA.