Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,078
- 12,756
CCM imfukuze huyu mtu....Gwajiuno anatapika maccm yameufyata.
#KaziIendelee
CCM imfukuze huyu mtu....Gwajiuno anatapika maccm yameufyata.
Askofu chidi anazidi kukusanya wafuasi wake pale mabandani.Askofu Rashid Gwajima kiwashe kesho wala usihofu kitu,wewe una watu,wewe ndiwe Rais ajaye
CCM ni nani ..? Kama ni wa 'kudemka' hatoweza!CCM imfukuze huyu mtu....
#KaziIendelee
hapa hawatawezaNawaona wasiojulikana wakihangaika kutafuta mbinu kumminya
Mwendazake alijitahidi sana kuwapa nguvu sukuma gang. Ukiangalia hii move utangundua wapinga chanjo wote ni sukuma gang. Wanahatarisha afya zao kulinda legacy ya mwendazake....Itakuwa raha sana kesho kama atamlipua tena wa KUDEMKA.
Askofu Chidy mwana sana....Kesho pale kijiweni kwake ataichambua vizuri amfifiro inavyofanya kazi kwenye corona virus....
Mwendazake alijitahidi sana kuwapa nguvu sukuma gang. Ukiangalia hii move utangundua wapinga chanjo wote ni sukuma gang. Wanahatarisha afya zao kulinda legacy ya mwendazake....
Ukiangalia kwa makini hii ni vita ya Legacy...
Mmh huyo jamaa ni mbishi hakuna mfano na ni Mtu mwenye msimamoLeo akifufuka Magu akasema watanzania tukachanjwe, askofu Chidy Gwajima kesho atadamka kuwahubiria waumini wake faida za chanjo...
Huyo jamaa "popoma tu".....Mmh huyo jamaa ni mbishi hakuna mfano na ni Mtu mwenye msimamo
Aliwahi kuishambulia sana serikali ya kikwete, akaishambulia sana pia serikali ya Magufuli mwanzoni, na sasa anaishambulia serikali ya Samia.
Huyu hana undugu kwenye analoamini
Hapana sio popomaHuyo jamaa "popoma tu".....
Deluded chap.....
Hashtag GWAJIMA afukuzwe CCM
#CCMImfukuzeGwajima
Alimshambulia pia Askofu Pengo. Pengo akajituliza zake kimya hakujibu chochote. Mwishowe askofu Chidy akaenda kwa Bashite kumwomba waongozane akasaidie kumwomba radhi mtumishi wa Mungu... Pengo wala hakuwa na hiyana... akasameheMmh huyo jamaa ni mbishi hakuna mfano na ni Mtu mwenye msimamo
Aliwahi kuishambulia sana serikali ya kikwete, akaishambulia sana pia serikali ya Magufuli mwanzoni, na sasa anaishambulia serikali ya Samia.
Huyu hana undugu kwenye analoamini
Lakini si anaowahubiria kanisani wameshamwelewa au bado? Mimi hata arudie kila siku kwa miaka yote sitamwelewa mpaka aje na utafiti kuonyesha kuwa chanjo iliyopokelewa Tanzania si salama na hiyo ndiyo ingekuwa ground au justification ya mahubiri yake kuhusu chanjo. Bila kufanya hivyo, kwangu siwezi kumwelewa.Kesho askofu wa kanisa la ufufuo na uzima atawasha moto juu ya chanjo ya corona ambayo tayari imezinduliwa tarehe 29.07.2021 na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimia SAMIA SULUHU HASSAN , watu mbalimbali ambao ni wakaribu na askofu kwa tetesi zilizopo amesema hawezi kubadili msimamo wake wa chanjo ya corona kwa kuwa yeye ni kiongozi wa kiroho na anayoyasema hutoka kwa mungu ; kwa kauli hizi nadhani ni wakati sasa serikali kujitafakari upya kutomjibu kiongozi wa kiroho ambaye huongwa kiimani tabia za vijana wa ccm kumshambulia kiongozi huyo ni utovu wa nidhamu kwa viongozi wa kiroho kwa ujumla ! Dini na siasa ni kama mafta na maji mwacheni kiongozi huo awalishe kondoo wake kama alivyoelekezwa na mungu.View attachment 1875481
AskofumaviJaribu uone nenda pale kanisani kama hujarudi umeshika bukta mkononi.
Hii ni style mpya ya kutafuta sadaka.Na imemfanikisha sana.Kesho askofu wa kanisa la ufufuo na uzima atawasha moto juu ya chanjo ya corona ambayo tayari imezinduliwa tarehe 29.07.2021 na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimia SAMIA SULUHU HASSAN , watu mbalimbali ambao ni wakaribu na askofu kwa tetesi zilizopo amesema hawezi kubadili msimamo wake wa chanjo ya corona kwa kuwa yeye ni kiongozi wa kiroho na anayoyasema hutoka kwa mungu ; kwa kauli hizi nadhani ni wakati sasa serikali kujitafakari upya kutomjibu kiongozi wa kiroho ambaye huongwa kiimani tabia za vijana wa ccm kumshambulia kiongozi huyo ni utovu wa nidhamu kwa viongozi wa kiroho kwa ujumla ! Dini na siasa ni kama mafta na maji mwacheni kiongozi huo awalishe kondoo wake kama alivyoelekezwa na mungu.View attachment 1875481
Kuna mCCM yeyote asiye mchawi!!??Sasa anapambana na system nzima na ccm,atakaa tu na ma uchawi yake