SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,714
- 60,721
Hilo ni tanuru,ipo siku litawaoka wote waliomo it's just a matter of time.Sasa hili ni kanisa au ni kijiwe cha mipasho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ni tanuru,ipo siku litawaoka wote waliomo it's just a matter of time.Sasa hili ni kanisa au ni kijiwe cha mipasho?
Dawa ya moto ni moto, kaaa chonjoKesho askofu wa kanisa la ufufuo na uzima atawasha moto juu ya chanjo ya corona ambayo tayari imezinduliwa tarehe 29.07.2021 na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimia SAMIA SULUHU HASSAN , watu mbalimbali ambao ni wakaribu na askofu kwa tetesi zilizopo amesema hawezi kubadili msimamo wake wa chanjo ya corona kwa kuwa yeye ni kiongozi wa kiroho na anayoyasema hutoka kwa mungu ; kwa kauli hizi nadhani ni wakati sasa serikali kujitafakari upya kutomjibu kiongozi wa kiroho ambaye huongwa kiimani tabia za vijana wa ccm kumshambulia kiongozi huyo ni utovu wa nidhamu kwa viongozi wa kiroho kwa ujumla ! Dini na siasa ni kama mafta na maji mwacheni kiongozi huo awalishe kondoo wake kama alivyoelekezwa na mungu.View attachment 1875481
Kumbe sukuma gang ni wengi kiasi hiki hapa nchini?Mwendazake alijitahidi sana kuwapa nguvu sukuma gang. Ukiangalia hii move utangundua wapinga chanjo wote ni sukuma gang. Wanahatarisha afya zao kulinda legacy ya mwendazake....
Ukiangalia kwa makini hii ni vita ya Legacy...
Dalali la machanjo unahangaika kweli kweli.Nimemsikiliza leo , anatapatapa tu hata hana mtiririko. Unaweza dhani amechanganyikiwa .
Amekataza watu kupinga chanjo ya korona.
Lakini ana watu wake anaowashauri wasichanje. Leo haongei anatajataja tu.
Kama nilivyosema hapa asubui,,, hajatoa fact hata moja, na sababu ni kuwa anajaribu kuukumbatia uongo ambao umeshajulikana ni uongo.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Awamu ya tano na sita kweli kuna utofauti mkubwa msikilize mama hapa aliyoyasema View attachment 1875807
Kupata 0 form four kunazuwia mtu kuja kuwa PhD holder in the future? Mbona una mawazo mgando hivyo?Huyu askofu ni wa kupigwa mawe hadi afe ,jinga kabisa hila baba kenye divsion 0 form four leo linajifanya lina PhD