#COVID19 Askofu Gwajima kuwasha moto juu ya Chanjo ya Corona - Agosti 1, 2021

Kesho askofu wa kanisa la ufufuo na uzima atawasha moto juu ya chanjo ya corona ambayo tayari imezinduliwa tarehe 29.07.2021 na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimia SAMIA SULUHU HASSAN , watu mbalimbali ambao ni wakaribu na askofu kwa tetesi zilizopo amesema hawezi kubadili msimamo wake wa chanjo ya corona kwa kuwa yeye ni kiongozi wa kiroho na anayoyasema hutoka kwa mungu ; kwa kauli hizi nadhani ni wakati sasa serikali kujitafakari upya kutomjibu kiongozi wa kiroho ambaye huongwa kiimani tabia za vijana wa ccm kumshambulia kiongozi huyo ni utovu wa nidhamu kwa viongozi wa kiroho kwa ujumla ! Dini na siasa ni kama mafta na maji mwacheni kiongozi huo awalishe kondoo wake kama alivyoelekezwa na mungu.View attachment 1875481
Dawa ya moto ni moto, kaaa chonjo
 
Mwendazake alijitahidi sana kuwapa nguvu sukuma gang. Ukiangalia hii move utangundua wapinga chanjo wote ni sukuma gang. Wanahatarisha afya zao kulinda legacy ya mwendazake....

Ukiangalia kwa makini hii ni vita ya Legacy...
Kumbe sukuma gang ni wengi kiasi hiki hapa nchini?

Maana huku mtaani kila mtu hana hamu na hiyo michanjo!
 
Nimemsikiliza leo , anatapatapa tu hata hana mtiririko. Unaweza dhani amechanganyikiwa .
Amekataza watu kupinga chanjo ya korona.
Lakini ana watu wake anaowashauri wasichanje. Leo haongei anatajataja tu.
Kama nilivyosema hapa asubui,,, hajatoa fact hata moja, na sababu ni kuwa anajaribu kuukumbatia uongo ambao umeshajulikana ni uongo.


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nimemsikiliza leo , anatapatapa tu hata hana mtiririko. Unaweza dhani amechanganyikiwa .
Amekataza watu kupinga chanjo ya korona.
Lakini ana watu wake anaowashauri wasichanje. Leo haongei anatajataja tu.
Kama nilivyosema hapa asubui,,, hajatoa fact hata moja, na sababu ni kuwa anajaribu kuukumbatia uongo ambao umeshajulikana ni uongo.


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Dalali la machanjo unahangaika kweli kweli.
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom