alumn
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 2,366
- 3,109
Hakuna kuchanjwa nasimama na Askofu Gwajima...
Tupo pamoja mkuu
Hakuna kuchanjwa nasimama na Askofu Gwajima...
Kipindi kile alikua anaongea watu wanafurahi lakini hotuba zake sasa ni kama amepoteza nuru kabisaAwamu ya tano na sita kweli kuna utofauti mkubwa msikilize mama hapa aliyoyasema View attachment 1875807
Kipindi kile hajaingiwa na tamaa, kipindi hicho alikuwa hata urais hautaki. Lakini sasa ameenda kuiba ubunge kawe na hajatubu. Kabla ya hapo kuna ile clip ambayo nayo hakuikiri,, ana makando mengi sasa.huyu jamaa huwa akiamua haya kamuulizeni Ex RC wa mkoa fulani alivyofutwa kwenye ulimwengu wa siasa.
Makusanyo ya sadaka yanaenda kuongezekaKesho askofu wa kanisa la ufufuo na uzima atawasha moto juu ya chanjo ya corona ambayo tayari imezinduliwa tarehe 29.07.2021 na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimia SAMIA SULUHU HASSAN , watu mbalimbali ambao ni wakaribu na askofu kwa tetesi zilizopo amesema hawezi kubadili msimamo wake wa chanjo ya corona kwa kuwa yeye ni kiongozi wa kiroho na anayoyasema hutoka kwa mungu ; kwa kauli hizi nadhani ni wakati sasa serikali kujitafakari upya kutomjibu kiongozi wa kiroho ambaye huongwa kiimani tabia za vijana wa ccm kumshambulia kiongozi huyo ni utovu wa nidhamu kwa viongozi wa kiroho kwa ujumla ! Dini na siasa ni kama mafta na maji mwacheni kiongozi huo awalishe kondoo wake kama alivyoelekezwa na mungu.View attachment 1875481
Naona kundi la SG limeamua kumuacha wa KUDEMKA adhalilishwe na Gwajiboy. Na Gwajiboy hiki kimya kufuatia dharau zake hadharani kausoma mchezo na si ajabu ndani ya SG wamempa go ahead ya kufanya mashambulizi makali.
Wanaomkingia kifua ni genge analoliongoza.BAVICHA bwana mbona mnawashambulia CCM. Wanaoongoza kumpiga vita ni vijana wa CHADEMA! Na sababu iko wazi kamsema Mbowe. Chunguza humu JF wanaoongoza na nyuzi za kumshambulia Gwajima.
jaribu kugusa ile madhabahu kama hujarudi na bukuta mkononi😂😂😂😂😂😂Kipindi kile hajaingiwa na tamaa, kipindi hicho alikuwa hata urais hautaki. Lakini sasa ameenda kuiba ubunge kawe na hajatubu. Kabla ya hapo kuna ile clip ambayo nayo hakuikiri,, ana makando mengi sasa.
Isitoshe ataendeleza mambo yake ya kuhisi bila kutoa fact hata moja.
(Unijibu baada ya hiyo ibada yake)
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hata kama kafuga majini, hayatanifanya lolote.jaribu kugusa ile madhabahu kama hujarudi na bukuta mkononi
Amesema nini? Sikusikia.Awamu ya tano na sita kweli kuna utofauti mkubwa msikilize mama hapa aliyoyasema View attachment 1875807
Hakuna kitu kama hichoWakati wowote Jimbo la Kawe litakuwa wazi.
Kesho askofu wa kanisa la ufufuo na uzima atawasha moto juu ya chanjo ya corona ambayo tayari imezinduliwa tarehe 29.07.2021 na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimia SAMIA SULUHU HASSAN , watu mbalimbali ambao ni wakaribu na askofu kwa tetesi zilizopo amesema hawezi kubadili msimamo wake wa chanjo ya corona kwa kuwa yeye ni kiongozi wa kiroho na anayoyasema hutoka kwa mungu ; kwa kauli hizi nadhani ni wakati sasa serikali kujitafakari upya kutomjibu kiongozi wa kiroho ambaye huongwa kiimani tabia za vijana wa ccm kumshambulia kiongozi huyo ni utovu wa nidhamu kwa viongozi wa kiroho kwa ujumla ! Dini na siasa ni kama mafta na maji mwacheni kiongozi huo awalishe kondoo wake kama alivyoelekezwa na mungu.
Huyu jamaa should be hanged, yeye na Polepole wanafanganya wananchi. Expelled from CCM and be hanged kwa Mkapa. These two are morons!!Kesho askofu wa kanisa la ufufuo na uzima atawasha moto juu ya chanjo ya corona ambayo tayari imezinduliwa tarehe 29.07.2021 na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimia SAMIA SULUHU HASSAN , watu mbalimbali ambao ni wakaribu na askofu kwa tetesi zilizopo amesema hawezi kubadili msimamo wake wa chanjo ya corona kwa kuwa yeye ni kiongozi wa kiroho na anayoyasema hutoka kwa mungu ; kwa kauli hizi nadhani ni wakati sasa serikali kujitafakari upya kutomjibu kiongozi wa kiroho ambaye huongwa kiimani tabia za vijana wa ccm kumshambulia kiongozi huyo ni utovu wa nidhamu kwa viongozi wa kiroho kwa ujumla ! Dini na siasa ni kama mafta na maji mwacheni kiongozi huo awalishe kondoo wake kama alivyoelekezwa na mungu.View attachment 1875481
Kibwetere huyoNaona maccm wanamuogopa sana huyu ZWAZWA na yeye kaliona hilo sasa kaamua KULIPUKA.