Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 876
- 4,101
Nimeona Gwajima amekusanya vijana wa kumlinda na kushiriki naye kuzunguka jimbo la Kawe. Naamini hawa vijana wamepangisha nyumba, wanakula na pia wanayo matumizi mengine mengi.
Kwa mantiki hiyo hawa vijana wanalipwa na mlipaji maana yake ni Pastor Gwajima.
Lakini Gwajima chanzo chake cha mapato ni dini; na kwenye dini kipato ni sadaka, na sadaka kazi yake nikuendeleza kazi ya Mungu.
Lakini pia mifumo yetu inapingana kiimani kwa mtu anayetumia sadaka kuendesha mambo binafsi yasiyo ya kiroho ikiwemo kufadhili siasa.
Swali, Pastor Gwajima anawezaje kutuaminisha kwamba hatumii sadaka kufadhili shughuli zake za siasa?
Kwa mantiki hiyo hawa vijana wanalipwa na mlipaji maana yake ni Pastor Gwajima.
Lakini Gwajima chanzo chake cha mapato ni dini; na kwenye dini kipato ni sadaka, na sadaka kazi yake nikuendeleza kazi ya Mungu.
Lakini pia mifumo yetu inapingana kiimani kwa mtu anayetumia sadaka kuendesha mambo binafsi yasiyo ya kiroho ikiwemo kufadhili siasa.
Swali, Pastor Gwajima anawezaje kutuaminisha kwamba hatumii sadaka kufadhili shughuli zake za siasa?