Hebu nyamaza bwana, "sisi" ndani ya ccm tunamajonzi makubwa ya ndege yetu ile yenye maneno HAPA KAZI TUU imekamatwa Afrika kusini eti sababu ya madeni? Hawajui sisi ni matajiri tena dona kantili!Mulifurahi na kupiga vigelegele trump aliposhinda uchaguzi mkiamini chadema itakuwa kama......
Mkafurah na kupiga vigelegele kenyatta aliposhinda uchaguzi mkiamini mtakuwa kama.....
Leo mmeamia kwa shoo, hebu jipeni space maana mwisho wa siku huwa mnabaki yatima
HujielewJazba wapi nyie ni wajinga, kazi kugeuzwageuzwa tu! Mlipiga vigelegele trump alivyoshinda sijui mlikuwa mnajua mtaenda marekani
Ghafla mkaanza kumshobokea kenyatta
Shoo ana kadi ya bavichaMulifurahi na kupiga vigelegele trump aliposhinda uchaguzi mkiamini chadema itakuwa kama......
Mkafurah na kupiga vigelegele kenyatta aliposhinda uchaguzi mkiamini mtakuwa kama.....
Leo mmeamia kwa shoo, hebu jipeni space maana mwisho wa siku huwa mnabaki yatima
Nyamitako ndo Makundu? aka toto pendwa la bichwa bate aka jiweYule kahaba mkuu yezebeli na kijakazi wake alexelias wameanguka kwa aibu!!
Nasikia nyamitako alikua anagawa mahela ili Dr Shoo ashindwe sasa kashindwa yeye
UlajiHaya makanisa ya kupigiana kura hatari sana maaskofu wanalogana balaa hahaaaa siwezi sahau uchaguzi uliomuondoa mwakyolile jinsi hawa watumishi walivochezeana huko mbeya.
Nyamitako ndo Makundu? aka toto pendwa la bichwa bate aka jiwe
View attachment 1188638
Taarifa za uhakika ni kwamba Dr Shoo ametangazwa mshindi usiku huu dhidi ya wagombea wengine na ataongoza kanisa hilo kwa kipindi cha miaka minne .
Alikuwa akichuana na Maaskofu wenzake akiwemo Dr Steven Munga , Dr Abednego Keshomshahara , Blaston Gavile na Dr Alex Malasusa ( ambaye amewahi kuongoza KKKT katika cheo hicho kwa miaka 8 )
Taarifa zaidi zitaendelea kumiminwa hapa hapa
View attachment 1188638
Taarifa za uhakika ni kwamba Dr Shoo ametangazwa mshindi usiku huu dhidi ya wagombea wengine na ataongoza kanisa hilo kwa kipindi cha miaka minne .
Alikuwa akichuana na Maaskofu wenzake akiwemo Dr Steven Munga , Dr Abednego Keshomshahara , Blaston Gavile na Dr Alex Malasusa ( ambaye amewahi kuongoza KKKT katika cheo hicho kwa miaka 8 )
Taarifa zaidi zitaendelea kumiminwa hapa hapa
vile praise team aka mazombi walivyojipa kazi ya kufatilia uchaguzi wa kumchagua kiongozi mkuu wa kanisa la KKKT nchini tanzania halafu matokeo yamekuja kinyume na walivyotaka iwe.
View attachment 1188647
Habari njema sana kwa makamanda wa ufipaView attachment 1188638
Taarifa za uhakika ni kwamba Dr Shoo ametangazwa mshindi usiku huu dhidi ya wagombea wengine na ataongoza kanisa hilo kwa kipindi cha miaka minne .
Alikuwa akichuana na Maaskofu wenzake akiwemo Dr Steven Munga , Dr Abednego Keshomshahara , Blaston Gavile na Dr Alex Malasusa ( ambaye amewahi kuongoza KKKT katika cheo hicho kwa miaka 8 )
Taarifa zaidi zitaendelea kumiminwa hapa hapa
LABDA MWEWENa zilizonifikia hivi punde, watekaji wanajipanga kwenda kuiteka ndege iliyozuiwa na Mahakama SA.. teh..teh.. teh..teh..teh