Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,670
- 218,172
Hii ndio taarifa aliyoisambaza kwa wahusika wote wa ndani na nje ya nchi, na kwamba Mkutano huo utafanyika nyumbani kwake maeneo ya Kimara suka tarehe 17/2/2021 kuanzia saa 5 Asubuhi.
Kwa wale ambao ni Wageni wameelekezwa kufika hadi Kimara Suka halafu waelekee Golani hadi kituo cha Polisi cha Rift Valley, hapo waulize nyumbani kwa Askofu Mwamakula wataonyeshwa.
Wote Mnakaribishwa.
Angalizo: Usisahau kuvaa Barakoa
Zaidi: Mwamakula: Naweka mkakati upya ulioboreshwa zaidi kisha nitautangaza kwa Watanzania
Kwa wale ambao ni Wageni wameelekezwa kufika hadi Kimara Suka halafu waelekee Golani hadi kituo cha Polisi cha Rift Valley, hapo waulize nyumbani kwa Askofu Mwamakula wataonyeshwa.
Wote Mnakaribishwa.
Angalizo: Usisahau kuvaa Barakoa
Zaidi: Mwamakula: Naweka mkakati upya ulioboreshwa zaidi kisha nitautangaza kwa Watanzania