.Ukisema wataruhusiwa waliobakwa hapo ujue kila mmoja atakayepata mimba atasema amebakwa na hamjui aliyembaka. Unatakiwa uangalie baadae itakuwaje. Nikuulize kidogo kwa uelewa wako nijibu kama watoto wa kike waliopata mimba wakiruhisiwa je, na kifungo cha miaka 30 jela kwa aliyeshirikiana na huyo msichana ifutwe?
Hawajawahi samehe mwanafunzi hawaHivi seminarini kuna kuaga na msamaha kwa mwanafunzi anaekosea ?
Maana nijuavyo hawa jamaa ukilizua tu out bila huruma.
Mimi ni mkatoliki tena mseminari, hakuna wazinzi kama mapadre wetu, ni bora Dr Slaa hakutaka kuwa mnafki katika hili akaomba kuacha upadre.
Kwanza punguzeni chuki
Mbili Kanisa halisapoti uzinzi, huruhusiwi kushiriki tendo la ndoa kama hujafunga ndoa Kanisani
So hata kama ukiwa above 18 kwa mafundisho ya Kikristo hauluhusiwi kujamiana
Serikari ndiyo inayotoa relief watu mjamiane angalau mkiwa wote above 18 na si wanafunzi (hii ni kama ka advantage ka nchi yetu Tanzania kuwa secular state)
Jibu swali usilete swali juu ya swali.
Kwa hiyo ni kanisa linawafunga hao unaosema wameshirikiana na msichana?
Kuna baadhi utumishi sio wito ni ajira.Tungetaraji kanisa ndilo liwe kielelezo cha "Kusamehe" na kutohesabia hatia mkosaji huyo ambaye ni mtoto lakini inakuwa ni kinyume chake.
Sijasoma yote! Ila itoshe tu kumwambia hata Roman Catholic sii utamaduni wetu Waafrika! Zetu ni chini ya miti mikubwa na Mawe Makubwa na Mapango!ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Songea Mhashamu Damian Dallu amesema kuwa anaunga mkono hatua ya Rais John Magufuli kutoruhusu wanafunzi wanaopata ujauzito kuendelea na masomo, na kusema kuwa shule zinazomilikiwa na Kanisa Katoliki hazitaruhusu wanafunzi wanaopata ujauzito kuendelea na masomo.
Amesema hayo katika Ibada ya Misa Takatifu ya Upadrisho wa Shemasi Jerome Mtatifikolo, iliyofanyika katika Parokia ya Bikira Maria Afya ya wagonjwa Ilole jimboni Iringa ambapo amebainisha kuwa wanaoshabikia wanaopata mimba kurudi shule wanaharibu utamaduni wa kiafrika na kuchafua heshima ya Taifa.
“Hayo mambo siyo sehemu ya utamaduni wetu wa Afrika, ni mambo ya kigeni yanayotaka kutuchafulia utamaduni wetu. Nawashangaa eti wanapigania haki ya tendo la ndoa, haki ya wapi hiyo?.
Tutakuwa na shule za namna gani zinazoruhusu mwanafunzi kwenda kulea mtoto kisha arudi tena na akipata mimba nyingine aende tena nyumbani?” Amehoji Askofu Dallu.
Katika hatua nyingine Askofu Dallu amewaasa waamini kufanya maandalizi ya kutosha hasa ya kiroho wanapojiandaa kuingia katika Sakramenti ya Ndoa ili ndoa zao ziwe na mwelekeo wa kiimani zaidi. Amesema kuwa kabla ya kupewa upadri, Shemasi Jerome alihudhuria mafungo ya kiroho ya siku 5 jambo ambalo linapaswa kuigwa na wale wanaojiandaa kupokea Sakramenti ya ndoa badala ya kujikita katika kufanya maandalizi ya kimwili.
“Watu wa familia mnatumia siku ngapi kufanya mafungo kabla ya kufunga ndoa? Au ndiyo ile kufanya maandalizi mengine ya kimwili marefu. Mkumbuke kuwa hata sisi mapadri tunatoka kwenu, matokeo ya kukosa maandalizi ya kutosha kabla ya ndoa ndiyo haya tunayoshuhudia sasa hivi ambapo wanaoishi ndoa kama Sakramenti ni wachache,” ameeleza.
Aidha amesema kuwa watu wanaoishi maisha ya pamoja kwa muda mrefu hadi kuwa na watoto hawastahili kuitwa wachumba kwa kuwa uchumba kielelezo chake ni Maria na Yosefu, na kuwataka kuacha kutumia jina hilo na badala yake wajiite wachumba sugu.
“Ulisikia wapi watu wanaishi uchumba mpaka wanakuwa na wajukuu? Tafuteni jina jingine kuanzia sasa labda mjiite wachumba sugu. Tutapata mapadri na masista wa namna gani? Kielelezo cha uchumba ni Yesu na Maria,” Ameeleza.
Pia amesema kuwa kazi ya karama ni kujenga umoja wa Kanisa na siyo kuligawa, na kumtaka kila mmoja kutumia wito wake kumtajirisha mwingine.
View attachment 547182
Chanzo:Gazeti la Kiongozi..
Ni sawa lkn Hata kutofanya zinaa hatopata mimba kabisa husimamia haki,(kutofanya zinaa) kwenye logic ya kawaida husimamia batili(kondom)KUMBE!!!
Mimi ningemuelewa zaidi huyu mtumishi wa Mungu kama angesema, ni "marufuku mwanafunzi kujiingiza kwenye mambo ya ngono, pia ni marufuku kuvunja amri ya kuzini hata kwa wasio wanafunzi" sasa kauli yake imeacha mpenyo wa wanafunzi wafanye ngono ila OLE wao wakikamatwa hasa hawa wasichana, shule basi. Hapa naona anaikuza biashara ya kondom.
Hapo kwenye red, huoni kama kanisa limeshabikia matumizi ya kondom kupitia kauli yake. Fafanua kama sio kweli alimaanisha nini kwamba wasichana wakipata mimba hakuna kurudi shuleni! Maana yake ili usipate mimba tumia kondom#$!? Logic ya kawaida tu hii
Kwa kuwekea mkazo mimba, basi naturally vijana watahakikisha hawapati mimba kwa kutumia moja wapo ya uchafu nilioutajaNi wapi ameruhusu hayo yote uliyoyasema. Sijawahi kusikia kiongozi yeyote akikubali uchafu unaoutaja wewe.
Taboo zetu zinasemaje kuhusu kujamiiana kabla ya ndoa...??.
Mila zetu afrika ni za kuhurumiana kusaidiana na kuthaminiana. Hivyo katika familia zetu mtoto akimyea mzazi, hatupwi wala kunyimwa haki zake za msingi kama mtoto
Sheria za makosa ya ubakaji zinasemaje..??Kwa sababu maparoko wanabaka vitoto vya kiume ni lazima uwe kipofu katika hili.
Sio msemaji wala raisi wa TEC atakuwa amelisemea jimbo lakeAmekataza kwa shule zilizoko jimboni kwake au majimbo yote tz, na huo utamaduni wa kiafrika aliouzungumzia unashabiihana wakanisa ama?
Ok kwanni ssa wasiseme asiye bikra pia atimuliwe shule??? Mimba na maadili vina uhusiano gani???Askofu yuko sahihi. Je watoto wanaopata mimba kwani wako kwenye ndoa?kusema waendelee na masomo ni kusema waendelee na uzinzi japo kuna wazinzi sugu ambao hawapati mimba .
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Songea Mhashamu Damian Dallu amesema kuwa anaunga mkono hatua ya Rais John Magufuli kutoruhusu wanafunzi wanaopata ujauzito kuendelea na masomo, na kusema kuwa shule zinazomilikiwa na Kanisa Katoliki hazitaruhusu wanafunzi wanaopata ujauzito kuendelea na masomo.
Amesema hayo katika Ibada ya Misa Takatifu ya Upadrisho wa Shemasi Jerome Mtatifikolo, iliyofanyika katika Parokia ya Bikira Maria Afya ya wagonjwa Ilole jimboni Iringa ambapo amebainisha kuwa wanaoshabikia wanaopata mimba kurudi shule wanaharibu utamaduni wa kiafrika na kuchafua heshima ya Taifa.
“Hayo mambo siyo sehemu ya utamaduni wetu wa Afrika, ni mambo ya kigeni yanayotaka kutuchafulia utamaduni wetu. Nawashangaa eti wanapigania haki ya tendo la ndoa, haki ya wapi hiyo?.
Tutakuwa na shule za namna gani zinazoruhusu mwanafunzi kwenda kulea mtoto kisha arudi tena na akipata mimba nyingine aende tena nyumbani?” Amehoji Askofu Dallu.
Katika hatua nyingine Askofu Dallu amewaasa waamini kufanya maandalizi ya kutosha hasa ya kiroho wanapojiandaa kuingia katika Sakramenti ya Ndoa ili ndoa zao ziwe na mwelekeo wa kiimani zaidi. Amesema kuwa kabla ya kupewa upadri, Shemasi Jerome alihudhuria mafungo ya kiroho ya siku 5 jambo ambalo linapaswa kuigwa na wale wanaojiandaa kupokea Sakramenti ya ndoa badala ya kujikita katika kufanya maandalizi ya kimwili.
“Watu wa familia mnatumia siku ngapi kufanya mafungo kabla ya kufunga ndoa? Au ndiyo ile kufanya maandalizi mengine ya kimwili marefu. Mkumbuke kuwa hata sisi mapadri tunatoka kwenu, matokeo ya kukosa maandalizi ya kutosha kabla ya ndoa ndiyo haya tunayoshuhudia sasa hivi ambapo wanaoishi ndoa kama Sakramenti ni wachache,” ameeleza.
Aidha amesema kuwa watu wanaoishi maisha ya pamoja kwa muda mrefu hadi kuwa na watoto hawastahili kuitwa wachumba kwa kuwa uchumba kielelezo chake ni Maria na Yosefu, na kuwataka kuacha kutumia jina hilo na badala yake wajiite wachumba sugu.
“Ulisikia wapi watu wanaishi uchumba mpaka wanakuwa na wajukuu? Tafuteni jina jingine kuanzia sasa labda mjiite wachumba sugu. Tutapata mapadri na masista wa namna gani? Kielelezo cha uchumba ni Yesu na Maria,” Ameeleza.
Pia amesema kuwa kazi ya karama ni kujenga umoja wa Kanisa na siyo kuligawa, na kumtaka kila mmoja kutumia wito wake kumtajirisha mwingine.
View attachment 547182
Chanzo:Gazeti la Kiongozi..
Unakwenda Kanisani ili kusikia kile unachokitaka..??Nimeipenda sana hii post. Mimi ni mromani mfu. Siku hizi siendi kanisani kutokana na unafiki ninaouna wazi kwa viongozi wetu. Kwenda huko ni kwenda kukwazana tu. Safari hii ni kuhakikisha tunasimamia ukweli na sio kuwategemea viongozi wa dini kwani hao ni baadhi ya watu wanafiki wa kutupwa.
Kwaiyo wewe unapenda upate msamaha bila kuomba msamaha. Mbona yesu alipokuta watu wamegeuza hekalu kuwa mpango la wanyangani hakuwasamehe bali aliwafukuza wote . tusitumie biblia vibaya kwa kisingizio cha yesu kusema msamehe mtu saba Mara sabini. Hiyo mpya ya kutoa msamaha kabla ya kosa. Na sijawahi kuona kwenye biblia sehemu ambapo wamesamehe kosa kabla haijafanyikaMaaskofu wamesahau maandiko ya kuhukumu???
Ndo maana nilibaki kuisoma Biblia tu na sio kwenda kanisani kwa unafki na ujinga wa hawa maaskofu uchwara
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wanapinga uzazi wa mpango,na kutokutumia kondomuAmekataza kwa shule zilizoko jimboni kwake au majimbo yote tz, na huo utamaduni wa kiafrika aliouzungumzia unashabiihana wakanisa ama?