Askofu Dallu: Marufuku shule za kanisa katoliki wanafunzi kuendelea na masomo baada ya kupata mimba

.
Kwa hiyo ni kanisa linawafunga hao unaosema wameshirikiana na msichana?
 
Hivi seminarini kuna kuaga na msamaha kwa mwanafunzi anaekosea ?
Maana nijuavyo hawa jamaa ukilizua tu out bila huruma.
Hawajawahi samehe mwanafunzi hawa
Nashangas huyu nae kilichomleta huku ni nini
Kabla rais ajatoa mtazamo wake hasi ambao pia unaweza uita finyu hawa jamaa ndio maisha ya kibedui na ubabe
 
Mimi ni mkatoliki tena mseminari, hakuna wazinzi kama mapadre wetu, ni bora Dr Slaa hakutaka kuwa mnafki katika hili akaomba kuacha upadre.

Ifike wakati sasa mapadre na maaskofu wakatoliki waruhusiwe kuowa kuliko kuendelea na uzinifu na ufiraji.

Hakuna mwanaume rijali mwenye mbegu zake anayeweza kukaa bila kuchuja.

Kina Pengo wanawatafuna masista hilo tunalijuwa tuache unafkiunafki.

Kanisa kwa msimamo wa kuwazuia watawa wake kuowa au kuolewa moja kwa moja linasapoti uzinzi tu.

Tena ni afadhali masista kwa nature ya mwanamke anaweza kukaa bila kugongwa lakini siyo mapadre na maaskofu hawa ni wazinzi tu.
 
Sijasoma yote! Ila itoshe tu kumwambia hata Roman Catholic sii utamaduni wetu Waafrika! Zetu ni chini ya miti mikubwa na Mawe Makubwa na Mapango!

Kama tunataka Uafrika wetu tuondoe hadi hizo shule na makanisa na Serikali na chochote kisicho originate Africa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Askofu kaharibu...yaani bora angeendelea kunyamaza tu...
Kuna majimbo na mashirika yanapokea watoto waliozaliwa nje ya ndoa kwa ajili ya daraja takatifu la upadre......sasa kama kwenye upadre watoto wa kiume wanakubaliwa sembuse wazazi wao ambao ndo walopata hizo mimba wakiwa bado shuleni wakataliwe kurudi shule?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni sawa lkn Hata kutofanya zinaa hatopata mimba kabisa husimamia haki,(kutofanya zinaa) kwenye logic ya kawaida husimamia batili(kondom)
 
Ni wapi ameruhusu hayo yote uliyoyasema. Sijawahi kusikia kiongozi yeyote akikubali uchafu unaoutaja wewe.
Kwa kuwekea mkazo mimba, basi naturally vijana watahakikisha hawapati mimba kwa kutumia moja wapo ya uchafu nilioutaja
 
.
Mila zetu afrika ni za kuhurumiana kusaidiana na kuthaminiana. Hivyo katika familia zetu mtoto akimyea mzazi, hatupwi wala kunyimwa haki zake za msingi kama mtoto
Taboo zetu zinasemaje kuhusu kujamiiana kabla ya ndoa...??

Je! Wajibu wa mwanafunzi nini..?
 
Askofu yuko sahihi. Je watoto wanaopata mimba kwani wako kwenye ndoa?kusema waendelee na masomo ni kusema waendelee na uzinzi japo kuna wazinzi sugu ambao hawapati mimba .
Ok kwanni ssa wasiseme asiye bikra pia atimuliwe shule??? Mimba na maadili vina uhusiano gani???
 
 
Hili kanisa huwa siliamini kabisa,naona kama ni saccos tu.
Kuna mambo wao wakifanya hawawezi kuyakemea,kama Askofu Kilaini mpaka sasa ana hudumu uku akiwa na kashfa ya kuongwa pesa za Escrow. Kwenye jambo kama hilo hautowaona wakifungua mdomo kabisa.
 
Unakwenda Kanisani ili kusikia kile unachokitaka..??
 
Maaskofu wamesahau maandiko ya kuhukumu???
Ndo maana nilibaki kuisoma Biblia tu na sio kwenda kanisani kwa unafki na ujinga wa hawa maaskofu uchwara

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo wewe unapenda upate msamaha bila kuomba msamaha. Mbona yesu alipokuta watu wamegeuza hekalu kuwa mpango la wanyangani hakuwasamehe bali aliwafukuza wote . tusitumie biblia vibaya kwa kisingizio cha yesu kusema msamehe mtu saba Mara sabini. Hiyo mpya ya kutoa msamaha kabla ya kosa. Na sijawahi kuona kwenye biblia sehemu ambapo wamesamehe kosa kabla haijafanyika
 
Hawa Maaskofu hopeless, mbona wao wanalaumiwa kwa kufira watoto wa altar, wanazini tena na wake za watu, wamewapa wasichana wa kwaya mimba, wanasamehewe. Wanaona ugumu gani kuwasamehe hawa watoto. Hovyo kabisa eti maaskofu , uozo mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…