Askofu Dallu: Marufuku shule za kanisa katoliki wanafunzi kuendelea na masomo baada ya kupata mimba

Unafiki ni kwa kila Mwanadamu, namuunga mkono askofu kwa maana ametoa tamko kwa niaba ya kanisa jimboni mwake ambao yy ni mtawala.
Ni sawasawa Hata mm ndani ya utawala wa NYUMBA ni kwangu binti zangu ntawaambia hivyohivo Hata nyingi watoto wenu, wadogo zenu na majirani zenu mtawaambia hivyo hivyo tuache unafiki .
Plan B baada ya binti kutiwa mimba hayo ni mengine. Yaani kanisa lishabikie mimba zitokanazo na zinaa au kanisa lishabikie matumizi ya kondom hapana kila kitu na wakati wake watoto wasubiri wakati utafika.
Ni sawa ila je unafaham 80% za ubakaji Tanzania zimezaa mimba 2012-2016??? Na kati ya hao waliobakwa 70% ni under 18 na ambao wako umri wa kuwa shuleni je wwe unaonaje mnakazia kwenye mimba sio zinaa??? Yanai mnasem tu mimba bila kujali circumstances

Kma mnataka kupambana na zinaa basi semeni hamfungishi ndoa nyie wakristo kma mwanamke sio bikra au hta hamuandikishi mtoto shule zenu za kikatoliki kma sio bikra ila mnasubiri mimba ndio mjifanye mko serious na zinaa.... je wanaotumia condom ina maana watagradute na uzinzi wao ila aliyebakwa kati ya hao 80% ndio anatimuliwa

Watanzania reasoning yetu imefia wapi??? Afu unakuta wwe ni msomi wa phd na kuna watu watakupa likes!!! Kaz kwelikweli
 
Yesu alisema " yeye awaye hajawahi kutenda dhambi na awe wa kwanza kumrushia mawe". Ni ajabu kwamba kanisa liadhibu watoto kwa kuwanyima elimu!

Kwahiyo hata yy yesu kwann hakumrushia jiwe huyo dada? Kumbe naye yesu alikuwa na zambi zake anazijua mwenyewe.
 
Kwa kuwekea mkazo mimba, basi naturally vijana watahakikisha hawapati mimba kwa kutumia moja wapo ya uchafu nilioutaja
Kule Zanzibar mabinti wanatowa tigo kwa sababu wakiolewa wakutwe bikra, kuna tamaduni nyingine ni za kipuuzi kabisa.

Huku bara tigo ni dili lakini kule kwa wenzetu siyo dili kabisa.
 
Ok kwanni ssa wasiseme asiye bikra pia atimuliwe shule??? Mimba na maadili vina uhusiano gani???
Rudia tena kusoma Uzi. Soma tu aya ya kwanza.Pale alizungumzia kuendelea na masomo ambao tayari walishaandikishwa.yaani mwanafunzi aambiwe akipata ujauzito hana shule ategemee kuendelea. Ujue kabla hujajiunga na shule yoyote mwanafunzi hupata muongozo wa kuenenda katika shule na hilo la mimba analifahamu kambla kwamba ikibainika hana shule.Basi waruhusu wote ambao wawafuati sheria na taratibu kuendelea na masomo.
 
Taboo zetu zinasemaje kuhusu kujamiiana kabla ya ndoa...??

Je! Wajibu wa mwanafunzi nini..?
.
Watoto huadhibiwa lakini sii kunyimwa haki.
Wajibu wa mwanafunzi ni kujielimisha kwa gharama yoyote, iwe mbua iwe jua.
 
Unakwenda Kanisani ili kusikia kile unachokitaka..??

Ndio ninakwenda kusikia neno la Mungu ambalo linazungumzia haki. Hivyo nataka kusikia haki hiyo na sio kujipendekeza na kupotosha waumini. Baada ya kuona naanza kukosa hilo nikaona sio lazima kwenda kuwakwaza wengine, hivyo huwa siendi ila kutoa nafasi ya wale wanaomini waendelee bila kero kutoka kwangu.
 
Ni sawa lkn Hata kutofanya zinaa hatopata mimba kabisa husimamia haki,(kutofanya zinaa) kwenye logic ya kawaida husimamia batili(kondom)
HAPO KWENYE LOGIC YA KAWAIDA NDIO NAMSHANGAA HUYU ASKOFU! Yaani askofu anapigia chapuo matumizi ya kondom kwa wanafunzi ili wasipate mimba! Atakayepinga hili anieleze, alishindwaje kuhimiza kuitii amri ya 6 (USIZINI) AMBAYO NDIO DAWA YA KUZUIA MIMBA ZA WANAFUNZI. YEYE NA WADHIFA WAKE AKADAKIA KAULI YA WANASIASA (alioitamka Magufuri) akaitapika kavukavu!! Hii dini ya RC naanza kuwa na wasiwasi, Haya wale RC mteteeni baba yenu huyo mana mnaonaga hao ni watakatifu hawakoseagi.
 
Kwaiyo wewe unapenda upate msamaha bila kuomba msamaha. Mbona yesu alipokuta watu wamegeuza hekalu kuwa mpango la wanyangani hakuwasamehe bali aliwafukuza wote . tusitumie biblia vibaya kwa kisingizio cha yesu kusema msamehe mtu saba Mara sabini. Hiyo mpya ya kutoa msamaha kabla ya kosa. Na sijawahi kuona kwenye biblia sehemu ambapo wamesamehe kosa kabla haijafanyika
Kwa hoja yako ya kipuuzi wenye mamlaka ya kusamehe n maaskofu???
Rudi kaisome Biblia vizuri tena maana asilimia kubwa ya wakotoliki wanajua mwenye kutoa msamaha n askofu au padri
Pia Nina mashaka na wewe na Yesu unayemzungumza.
Maana Mimi namzungumzia
Yesu na sio yesu
 
Huyu Askofu angekuwa muungwana sana kama angeongelea maswala ya ukiukwaji wa haki za binadamu zinazoendelea kushika kasi nchini.

Pia angetoa walau tamko kuhusu wale Mapadre wanaotuhumiwa kwa ushoga, hapo angeonekana wa maana zaidi angalau.
 
.
Watoto huadhibiwa lakini sii kunyimwa haki.
Wajibu wa mwanafunzi ni kujielimisha kwa gharama yoyote, iwe mbua iwe jua.
Naona unachanganya madesa..

Wanafunzi wana haki ya Kupata Elimu pia wanawajibu wa kusoma(kusoma tu) na sio kungonoka..

By the way kwa Kanisa Katoliki hata kufikia huko kwenye mimba ni mbali sana....Ikibainika kuna mahusiano kati ya Ke na Me ni mara moja wanafukuzwa..maana hicho sikilichowapeleka shule
 
Rudia tena kusoma Uzi. Soma tu aya ya kwanza.Pale alizungumzia kuendelea na masomo ambao tayari walishaandikishwa.yaani mwanafunzi aambiwe akipata ujauzito hana shule ategemee kuendelea. Ujue kabla hujajiunga na shule yoyote mwanafunzi hupata muongozo wa kuenenda katika shule na hilo la mimba analifahamu kambla kwamba ikibainika hana shule.Basi waruhusu wote ambao wawafuati sheria na taratibu kuendelea na masomo.
Ndio yeye kasema anazuia sababu ya kimaadili ndio na mmi nauliza kuna uhusiano gani kati ya mimba na maadili kma wanapambana na maadili je wanaume wazinzi watawajuaje??? Je wanawake wanaotoa mimba watawajuaje?? Je wanaotumia condom kuzuia mimba watawajuaje?? Kma issue ni maadili kwanni wasiseme ukitolewa bikra unatimuliwa shule zao kwanni mimba ndio swali langu mimi lilipo????
 
Kwahiyo hata yy yesu kwann hakumrushia jiwe huyo dada? Kumbe naye yesu alikuwa na zambi zake anazijua mwenyewe.
Wewe unamzungumzia yesu unayemjua wa huko kwenu lakini Mkuu gamba la nyoka anamzungumzia ""Yesu""
 
kwan huo utamaduni anaokomaa nao na kumpatia tonge kwan ni wa kiafrika? hilo vazi alilovaa ni la kiafrika? huyu asukofu pumba kabisa bora angekaa kimya akaendelea kufundisha misa na kupiga sadaka huku akijipigia konyagi yake taraatiiiibu
 
Askofu yuko sahihi. Je watoto wanaopata mimba kwani wako kwenye ndoa?kusema waendelee na masomo ni kusema waendelee na uzinzi japo kuna wazinzi sugu ambao hawapati mimba .
Ukisoma mathayo23 utaelewa..afu kingne kiongozi wa dini ni gwajizoooo tu
 
Unafiki ni kwa kila Mwanadamu, namuunga mkono askofu kwa maana ametoa tamko kwa niaba ya kanisa jimboni mwake ambao yy ni mtawala.
Ni sawasawa Hata mm ndani ya utawala wa NYUMBA ni kwangu binti zangu ntawaambia hivyohivo Hata nyingi watoto wenu, wadogo zenu na majirani zenu mtawaambia hivyo hivyo tuache unafiki .
Plan B baada ya binti kutiwa mimba hayo ni mengine. Yaani kanisa lishabikie mimba zitokanazo na zinaa au kanisa lishabikie matumizi ya kondom hapana kila kitu na wakati wake watoto wasubiri wakati utafika.
Soma mathayo23 utaelewa sio kubwatuka
 
Mimi ni mkatoliki tena mseminari, hakuna wazinzi kama mapadre wetu, ni bora Dr Slaa hakutaka kuwa mnafki katika hili akaomba kuacha upadre.

Ifike wakati sasa mapadre na maaskofu wakatoliki waruhusiwe kuowa kuliko kuendelea na uzinifu na ufiraji.

Hakuna mwanaume rijali mwenye mbegu zake anayeweza kukaa bila kuchuja.

Kina Pengo wanawatafuna masista hilo tunalijuwa tuache unafkiunafki.

Kanisa kwa msimamo wa kuwazuia watawa wake kuowa au kuolewa moja kwa moja linasapoti uzinzi tu.

Tena ni afadhali masista kwa nature ya mwanamke anaweza kukaa bila kugongwa lakini siyo mapadre na maaskofu hawa ni wazinzi tu.
Kwaiyo unataka kulazimisha mtu kuoa. Ulisikia wapi mtu analazimishwa kuwa mtawa. Kama kweli unamalengo mazuri na jamii washawishi vijana ambao hawataki kuoa wala kuolewa , mbona wapo wengi kuliko kulazimisha watu ambao wameamua kwa hiari yao kutokuoa. Au umeona kwavile wengi hawataki kuoa huku mtaani unaanzisha ushawishi wa kuoa au kuolewa kisa tu kapinga wanaopata mimba kuendelea na shule.
 
Kwa hoja yako ya kipuuzi wenye mamlaka ya kusamehe n maaskofu???
Rudi kaisome Biblia vizuri tena maana asilimia kubwa ya wakotoliki wanajua mwenye kutoa msamaha n askofu au padri
Pia Nina mashaka na wewe na Yesu unayemzungumza.
Maana Mimi namzungumzia
Yesu na sio yesu
" Wowote mtakao wafungia zambi wamefungiwa na wowote mtakao wafungulia dhambi wamefunguliwa"
 
Back
Top Bottom