explosion
Senior Member
- May 7, 2015
- 102
- 99
Historia ya africa ni ndoa za utotoni zilitawala...Uyamaduni wa Afrika ni kutofanya ngono katika umri mdogo. Kumbuka tulitembea uchi asilimia tisini lakini hatukubaka. Na mpaka sasa kuna makabila ambayo yanatembea uchi kasoro wanafunika tu pale katikati. Lakini hawabakani hata wakikutana polini. Mpaka ufike umri wa kuoa then unaoa. Kama wale kina bush man. Acheni uzinifu maana si mila zetu.
Havome
Sent using Jamii Forums mobile app