Askofu Alex Malasusa: Tumeumizwa

Askofu Alex Malasusa: Tumeumizwa

Kaona aibu kaona walau na yeye atoe neno neno la kulaani.
 
Huyu hapana!! Sitamsikiliza kwa uaminifu. Waumini wakipigwa kwake si shida? Wananchi wakitekwa kwake si hoja? Kwakuwa limegusa kanisa sasa ndipo ameona aseme?
Si vizuri kiongozi ukatupa shida kukuamini na kukuheshimu
Tatizo mnamwona Akofu kama mwansesere wenu wa kisiasa.
Mtafuteni Askofu Gwajima au yule anayempenda Lema, Askofu Shoo ndiyo msikilizeni. Akisema muandamane fanyeni hivyo.
 
View attachment 3324252

Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Alex Gehaz Malasusa, amesema Kanisa limeshitushwa, kusikitishwa na kuumizwa kwa tukio la kushambuliwa na kujeruhiwa kwa Katibu Mkuu wa Baeaza la Maaskofu Katoliki Tanzania ( TEC), Pdri Dr Charles Kitima.

Askofu Malasusa alendelea kusema, jambo la Kusikitisha ni kuona Taifa linaendelea kushuhudia matukio ya kinyama yasiyostahili wanadamu wenye utu, kuyafanya dhidi ya mwanadamu mwingine.

" Kumvizia mtumishi wa Mungu kumetuumiza sana, si tu kwa vile ni mtumishi wa Mungu, lakini tunaona matukio haya yamevuka mipaka, ule woga na heshima imepungua sana" alisema Askofu Malasusa akizungumza na Upendo Media.

Muongo huyo. Few months ago alikuwa anatetea ule upande. Kwani hakujua kuna akina Soka, Mzee Kibao wameshughulikiwa na Kikosi kazi...!!
 
Lile kabila unafiki uko kwenye damu na ndio maana maendeleo wanayasikia kwa jirani.
Pengine ulienda kwingine kusokorokwinyo, mnyaki hana unafiki hata siku moja. Anakupa za uso, tema au meza mwenyewe.
 
View attachment 3324252

Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Alex Gehaz Malasusa, amesema Kanisa limeshitushwa, kusikitishwa na kuumizwa kwa tukio la kushambuliwa na kujeruhiwa kwa Katibu Mkuu wa Baeaza la Maaskofu Katoliki Tanzania ( TEC), Pdri Dr Charles Kitima.

Askofu Malasusa alendelea kusema, jambo la Kusikitisha ni kuona Taifa linaendelea kushuhudia matukio ya kinyama yasiyostahili wanadamu wenye utu, kuyafanya dhidi ya mwanadamu mwingine.

" Kumvizia mtumishi wa Mungu kumetuumiza sana, si tu kwa vile ni mtumishi wa Mungu, lakini tunaona matukio haya yamevuka mipaka, ule woga na heshima imepungua sana" alisema Askofu Malasusa akizungumza na Upendo Media.
Malasusa ni mnafiq sana
 
View attachment 3324252

Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Alex Gehaz Malasusa, amesema Kanisa limeshitushwa, kusikitishwa na kuumizwa kwa tukio la kushambuliwa na kujeruhiwa kwa Katibu Mkuu wa Baeaza la Maaskofu Katoliki Tanzania ( TEC), Pdri Dr Charles Kitima.

Askofu Malasusa alendelea kusema, jambo la Kusikitisha ni kuona Taifa linaendelea kushuhudia matukio ya kinyama yasiyostahili wanadamu wenye utu, kuyafanya dhidi ya mwanadamu mwingine.

" Kumvizia mtumishi wa Mungu kumetuumiza sana, si tu kwa vile ni mtumishi wa Mungu, lakini tunaona matukio haya yamevuka mipaka, ule woga na heshima imepungua sana" alisema Askofu Malasusa akizungumza na Upendo Media.
Ila wakialikwa ikulu fasta wanawahi kiti cha mbele
 
View attachment 3324252

Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Alex Gehaz Malasusa, amesema Kanisa limeshitushwa, kusikitishwa na kuumizwa kwa tukio la kushambuliwa na kujeruhiwa kwa Katibu Mkuu wa Baeaza la Maaskofu Katoliki Tanzania ( TEC), Pdri Dr Charles Kitima.

Askofu Malasusa alendelea kusema, jambo la Kusikitisha ni kuona Taifa linaendelea kushuhudia matukio ya kinyama yasiyostahili wanadamu wenye utu, kuyafanya dhidi ya mwanadamu mwingine.

" Kumvizia mtumishi wa Mungu kumetuumiza sana, si tu kwa vile ni mtumishi wa Mungu, lakini tunaona matukio haya yamevuka mipaka, ule woga na heshima imepungua sana" alisema Askofu Malasusa akizungumza na Upendo Media.
Hunaas
...moral.autjority kukemea.....Askofu Malasusa nae ni chawa...na tissue kwa watawala haswa huuu....ni jogaas la kujipendekezaaa
 
Back
Top Bottom