Kwani hapo kakemea serikali? Hakutamka neno serikali au haki popote.Isha sema hawezi kuikemea serikali. Leo katoka wapi? Mimi ni Mluteri lakini sina imani na Mwalasusa..
Kwani hapo kakemea serikali? Hakutamka neno serikali au haki popote.Isha sema hawezi kuikemea serikali. Leo katoka wapi? Mimi ni Mluteri lakini sina imani na Mwalasusa..
Kelele zake ni za kinafiki tuMalasusa amepiga kelele baada ya kuona mshale umeelekezwa kwao(viongozi wa dini), huyu mtu amekuwa mlamba miguu kiaina kwa muda mrefu.
Member wa JF, anayeresort to threats, ujue hana akili sana.Mkuu endelea
Kuna watu viherehere sana.Member wa JF, anayeresort to threats, ujue hana akili sana.
Na chama anachokiwakilisha, CDM, kikipata madaraka, basi kitafanya si tofauti na tunachokiona sasa, mapadre kupigwa, watu kuswekwa ndani.
Halafu mtu asivyo na akili nzuri anategemea Maaskofu wawekwe mbele bada ya yeye mwenyewe.
Uoga per se.
A big time snitch at workView attachment 3324252
Mkuu w Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Alex Gehaz Malasusa, amesema Kanisa limeshitushwa, kusikitishwa na kuumizwa kwa tukio la kushambuliwa na kujeruhiwa kwa Katibu Mkuu wa Baeaza la Maaskofu Katoliki Tanzania ( TEC), Pdri Dr Charles Kitima.
Askofu Malasusa alendelea kusema, jambo la Kusikitisha ni kuona Taifa linaendelea kushuhudia matukio ya kinyama yasiyostahili wanadamu wenye utu, kuyafanya dhidi ya mwanadamu mwingine.
" Kumvizia mtumishi wa Mungu kumetuumiza sana, si tu kwa vile ni mtumishi wa Mungu, lakini tunaona matukio haya yamevuka mipaka, ule woga na heshima imepungua sana" alisema Askofu Malasusa akizungumza na Upendo Media.
You are a toilet paper, very good at wiping your peers ass.A big time snitch at work
Huyo ndie aliasisi huu upuuzi! Jinga kabisa!Duh
Mtanikumbuka 😁
Alikuwa na mazuri yake, lakini uchaguzi wa 2020 ulikuwa ze komedi show!Huyo ndie aliasisi huu upuuzi! Jinga kabisa!
And you are the sh*tYou are a toilet paper, very good at wiping your peers ass.
Mnafiki huyoView attachment 3324252
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Alex Gehaz Malasusa, amesema Kanisa limeshitushwa, kusikitishwa na kuumizwa kwa tukio la kushambuliwa na kujeruhiwa kwa Katibu Mkuu wa Baeaza la Maaskofu Katoliki Tanzania ( TEC), Pdri Dr Charles Kitima.
Askofu Malasusa alendelea kusema, jambo la Kusikitisha ni kuona Taifa linaendelea kushuhudia matukio ya kinyama yasiyostahili wanadamu wenye utu, kuyafanya dhidi ya mwanadamu mwingine.
" Kumvizia mtumishi wa Mungu kumetuumiza sana, si tu kwa vile ni mtumishi wa Mungu, lakini tunaona matukio haya yamevuka mipaka, ule woga na heshima imepungua sana" alisema Askofu Malasusa akizungumza na Upendo Media.
Mmh! Unamuamini mfanyakazi?Kuna watu viherehere sana.
Mimi nampongeza Askofu Malasusa kwa kuonyesha hisia zake kwa lililompata Padre Kitima.
Ukiwa Askofu ninlazima vile vile anakuwa mwanadiplomasia, na ujumbe unakuwa umefika kwa mlengwa.
Viherehere wanataka kubebwa mgongoni.
Message sent and delivered.And you are the sh*t
Ukiwa chama fulani, kufikiri kunakuwa na mipaka.Kwani hapo kakemea serikali? Hakutamka neno serikali au haki popote.
MuasisiDuh
Mtanikumbuka 😁
WAKRISTO TUMEUMIA SANA NA TUTAONYESHA HASIRA ZETU KWENYE BOX LA KURAPWANI GANG kazini.
Huyu hapana!! Sitamsikiliza kwa uaminifu. Waumini wakipigwa kwake si shida? Wananchi wakitekwa kwake si hoja? Kwakuwa limegusa kanisa sasa ndipo ameona aseme?View attachment 3324252
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Alex Gehaz Malasusa, amesema Kanisa limeshitushwa, kusikitishwa na kuumizwa kwa tukio la kushambuliwa na kujeruhiwa kwa Katibu Mkuu wa Baeaza la Maaskofu Katoliki Tanzania ( TEC), Pdri Dr Charles Kitima.
Askofu Malasusa alendelea kusema, jambo la Kusikitisha ni kuona Taifa linaendelea kushuhudia matukio ya kinyama yasiyostahili wanadamu wenye utu, kuyafanya dhidi ya mwanadamu mwingine.
" Kumvizia mtumishi wa Mungu kumetuumiza sana, si tu kwa vile ni mtumishi wa Mungu, lakini tunaona matukio haya yamevuka mipaka, ule woga na heshima imepungua sana" alisema Askofu Malasusa akizungumza na Upendo Media.