masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,410
- 14,119
PWANI GANG kazini.Na Bi Don Carleone Mkuu wa Mafia Gang kakaa kimya, anajifanya kiziwi
PWANI GANG kazini.Na Bi Don Carleone Mkuu wa Mafia Gang kakaa kimya, anajifanya kiziwi
Tutamkumboka John sioDuh
Mtanikumbuka 😁
Wewe JamaaDuh
Mtanikumbuka 😁
Ndiyo UkweliHafai kabisa ni mnafiki kama Lucas Mwashambwa na wote wanatoka Songwe
Tumkumbuke muasisi?!Duh
Mtanikumbuka 😁
Wa kesi za uhaini?Tumkumbuke muasisi?!
Mauaji ya ndugu zetuWa kesi za uhaini?
Malasusa anakemea huku akijua na serikali ya ccm imefanya hilo tukio.View attachment 3324252
Mkuu w Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Alex Gehaz Malasusa, amesema Kanisa limeshitushwa, kusikitishwa na kuumizwa kwa tukio la kushambuliwa na kujeruhiwa kwa Katibu Mkuu wa Baeaza la Maaskofu Katoliki Tanzania ( TEC), Pdri Dr Charles Kitima.
Askofu Malasusa alendelea kusema, jambo la Kusikitisha ni kuona Taifa linaendelea kushuhudia matukio ya kinyama yasiyostahili wanadamu wenye utu, kuyafanya dhidi ya mwanadamu mwingine.
" Kumvizia mtumishi wa Mungu kumetuumiza sana, si tu kwa vile ni mtumishi wa Mungu, lakini tunaona matukio haya yamevuka mipaka, ule woga na heshima imepungua sana" alisema Askofu Malasusa akizungumza na Upendo Media.
Inawezekana ndivyo.Malasusa anakemea huku akijua na serikali ya ccm imefanya hilo tukio.
Ni mtu wa hovyo snNdiyo Ukweli
Tulia hili lipo juu ya uwezo wakoKwa vipi, toa mfano.
Usijichanganye, huna solution, unafikiri kuna watakao fikiri kwa ajili yako?Tulia hili lipo juu ya uwezo wako
Nakupa onyo mkuu usithubutu utapata matokeo mabaya snUsijichanganye, huna solution, unafikiri kuna watakao fikiri kwa ajili yako?
Empty minds always do not want someone else to do their dirty jobs.
Vaa buti yaoung man!
Uko TISS ya Mowe?Nakupa onyo mkuu usithubutu utapata matokeo mabaya sn
Na yeye aongezewe ulinzi wataanza kumfukuzia wamcharange mapanga shauri yakeNdo ajue huu ni wakati wa Viongozi wa dini kusimama na Wananchi kudai reforms za msingi kwa mifumo ya Taifa letu ili Taifa liendelee kusimama kama Taifa lenye haki, amani na maendeleo ya kweli.
Siijui hata hiyo TISS akoUko TISS ya Mowe?
Ukitoa matisho ya kiburi , onyesha mshipa wako.Siijui hata hiyo TISS ako
Mkuu endeleaUkitoa matisho ya kiburi , onyesha mshipa wako.