Askari wetu kule ni peacekeepers na si peace enforcers. Peace keepers huwa wanakuwa hatarini zaidi kwani hawaruhusiwi kushambulia mpaka watakapoanzwa. Kutokana na hilo mara nyingi huwa wanakuwa victims wa ambush attacks. Hawa ni tofauti na walioenda Kongo kwani wa Kongo ni peace enforcers na wameruhusiwa kushambulia targets hata kama hawajachokozwa mradi objective yao itimie.