Hakuna anayejali
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 264
- 276
Salam wanajukwaa,
Ninyi askari wa barabarani, hivi hii tabia ya kuongeza honi, kubadili sauti ya pikipiki kwenye bomba la moshi na kulifanya linapiga kelele kama limepasuka au kama imepiga bastola hamuoni kero hiyo?
Kufumbia macho mnataka kusemaje ni haki kisheria au ni uvivu ktk utendaji?
Humu njiani si wote watoto na wakijinga kama hao madereva wa pikipiki wanaofanya ujinga wao, wengine wagonjwa wa bp nasema hivi kwakuwa kero yake ni kubwa. Chukueni hatua.
Ninyi askari wa barabarani, hivi hii tabia ya kuongeza honi, kubadili sauti ya pikipiki kwenye bomba la moshi na kulifanya linapiga kelele kama limepasuka au kama imepiga bastola hamuoni kero hiyo?
Kufumbia macho mnataka kusemaje ni haki kisheria au ni uvivu ktk utendaji?
Humu njiani si wote watoto na wakijinga kama hao madereva wa pikipiki wanaofanya ujinga wao, wengine wagonjwa wa bp nasema hivi kwakuwa kero yake ni kubwa. Chukueni hatua.