Askari wa usalama barabarani fuatilieni usalama wa abiria Noah za Mbinga - Litembo?

Hakuna anayejali

JF-Expert Member
Jun 3, 2023
264
276
Habari wanajukwaa.

Leo nilikuwa nasafiri nilipofika stend nimeikuta Noah inapakia abiria. Ajabu ticket ina maelezo ya gari nyingine, lakini yenyewe plate namba nyingine.

Tumetoka pale tupo 8 na ilipotoka stend ikapakia tena wawili kwenye buti, wengine wakasimama ndani na mwingine mbele kwa dereva manake mbele abiria wa3 nje na dereva, jumla ya abiria 15 na mizigo juu hadi roof inagonga. Nikawambia ni hatari kwa watu na mali yao.

Usalama barabarani fuatilieni hili gari isijaze kuliko uwezo Mbinga via Litembo. Askari msijali maokoto tu.

IMG_20230906_155310.jpg
IMG_20230906_090650.jpg
 
Habari wanajukwaa.

Leo nilikuwa nasafiri nilipofika stend nimeikuta Noah inapakia abiria. Ajabu ticket ina maelezo ya gari nyingine, lakini yenyewe plate namba nyingine.

Tumetoka pale tupo 8 na ilipotoka stend ikapakia tena wawili kwenye buti, wengine wakasimama ndani na mwingine mbele kwa dereva manake mbele abiria wa3 nje na dereva, jumla ya abiria 15 na mizigo juu hadi roof inagonga. Nikawambia ni hatari kwa watu na mali yao.

Usalama barabarani fuatilieni hili gari isijaze kuliko uwezo Mbinga via Litembo. Askari msijali maokoto tu.

View attachment 2741023View attachment 2741024
Noah boda bajajiji ni miladi ya polisi usalama barabarani pesa wanayo kusanya hawa jamaa niyingi kuliko inayo ingia serikalini
 
Habari wanajukwaa.

Leo nilikuwa nasafiri nilipofika stend nimeikuta Noah inapakia abiria. Ajabu ticket ina maelezo ya gari nyingine, lakini yenyewe plate namba nyingine.

Tumetoka pale tupo 8 na ilipotoka stend ikapakia tena wawili kwenye buti, wengine wakasimama ndani na mwingine mbele kwa dereva manake mbele abiria wa3 nje na dereva, jumla ya abiria 15 na mizigo juu hadi roof inagonga. Nikawambia ni hatari kwa watu na mali yao.

Usalama barabarani fuatilieni hili gari isijaze kuliko uwezo Mbinga via Litembo. Askari msijali maokoto tu.

View attachment 2741023View attachment 2741024
Shukrani sana kinga ni bora
 
Habari wanajukwaa.

Leo nilikuwa nasafiri nilipofika stend nimeikuta Noah inapakia abiria. Ajabu ticket ina maelezo ya gari nyingine, lakini yenyewe plate namba nyingine.

Tumetoka pale tupo 8 na ilipotoka stend ikapakia tena wawili kwenye buti, wengine wakasimama ndani na mwingine mbele kwa dereva manake mbele abiria wa3 nje na dereva, jumla ya abiria 15 na mizigo juu hadi roof inagonga. Nikawambia ni hatari kwa watu na mali yao.

Usalama barabarani fuatilieni hili gari isijaze kuliko uwezo Mbinga via Litembo. Askari msijali maokoto tu.

View attachment 2741023View attachment 2741024
Nunua coaster mpya wapelekee huenda ikasaidia kupunguza adha.
 
Ndugu yangu cha kushukuru mungu umefika salama basi.hayo mengine mungu anajua
 
Abiria 15 mbona wachache kwa Noah nenda Mahenge To Mwaya hadi 20 mnakaa kwa kupakatana.
Ndio usafir wa vijijini ulivyo.
Ikitokea imetokea hakuna waandishi wa habari huko
 
Back
Top Bottom