Hii sio hata kuwasaka, trafiki watoe tangazo tu kila boda itawekwa side mirrorsMatokeo yake imekuwa wengi wanagongwa wakiwa na abiria kwa makosa ya ujinga wanaosema wao fashion. Kwanini hawa vijana msiwasake vijiweni waliong'oa saiti mira wote ndaani.
Nakazia!! Ukimuuliza atakwambia, nikiziacha zitapasuka. Huu ni wendawazima kamili!Matokeo yake imekuwa wengi wanagongwa wakiwa na abiria kwa makosa ya ujinga wanaosema wao fashion. Kwanini hawa vijana msiwasake vijiweni waliong'oa saiti mira wote ndaani.
Muwe mnakula ugali wa dona.Acheni kukompleini Mambo side mirror zinakukera nn
Mkuu hata Gari zina dim light. Pale unapofunga breki utaona ina dimuadimua.Boda boda inatakiwa wachapwe viboko katika baadhi ya makosa maana wana akili za kitoto
Unatoa side mirror, taa ya mbele unatoa,taa ya nyuma unaweka dim light,mtu Kama huyu Ni wakuchapa viboko
Dim light za gari hizo wameweka aftermarket, sidhani Kama original zimewahi kutoka za dimMkuu hata Gari zina dim light. Pale unapofunga breki utaona ina dimuadimua.
Yote sawaSide mirror sio site mirror.
Waliozeweka hawakua wajinga.Acheni kukompleini Mambo side mirror zinakukera nn
Dah! Hawa ndiyo wanakera mpaka basi. Yaani wakiamua kufanya fujo zao, mtaa mzima hamkai kwa raha.Wabanwe hata wale wanaochezea exhaust pipes zao ili zipige makelele,hao nao ni kero sana...
Saiti mira...Side mirror sio site mirror.
Hawa linatoka tangazo kama lile la 3D za number platersHii sio hata kuwasaka, trafiki watoe tangazo tu kila boda itawekwa side mirrors
Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app