KERO Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango

KERO Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Kwa namna jeshi linavyofanya kazi, ni vigumu kwa walio wa chini (askari wenye vyeo vya chini) kupata haki

Ukisema uwasilishe kwenye vikao vyenu vya ndani, nyie wa chini hamshirikigi hivyo vikao isipokuwa maafisa wa vyeo vya juu 🙌

Mkisema mlalamike kwa Waziri, baada ya muda unatekwa/potezwa

Nyie haki yenu ni posho za kusimamia mitihani tu, lakini hizo nyingine waachieni wakubwa wanaowapeni oda mkaue wakati wao mikono yao haishiki hata hizo bunduki zenu
Kazi yao ina wakati mgumu sana hawa watu sema hawajui tu ilitakiwa wawe na ukaribu sana na raia na sio kujenga chuki maana mwisho wa siku wakitemwa wanarudi uraiani
 
Kazi yao ina wakati mgumu sana hawa watu sema hawajui tu ilitakiwa wawe na ukaribu sana na raia na sio kujenga chuki maana mwisho wa siku wakitemwa wanarudi uraiani
Kabisa Mkuu

Kuna mmoja nilimsaidia kusukuma pension yake kutoka kwa haraka, baada ya kikokotoo cha 33% alifanikiwa kupata gawio la 29,500,860 hivi kama sijakosea

Ni kiasi kidogo ukilinganisha na ukatili wanaowafanyia raia Kila siku kwa miaka 34 aliyotumikia jeshi 🙌
 
Kabisa Mkuu

Kuna mmoja nilimsaidia kusukuma pension yake kutoka kwa haraka, baada ya kikokotoo cha 33% alifanikiwa kupata gawio la 29,500,860 hivi kama sijakosea

Ni kiasi kidogo ukilinganisha na ukatili wanaowafanyia raia Kila siku kwa miaka 34 aliyotumikia jeshi 🙌
Yeah ni kiasi kidogo sana kama hakujenga nyumba kabla lazima akili zimruke hapo
 
Kazi yao ina wakati mgumu sana hawa watu sema hawajui tu ilitakiwa wawe na ukaribu sana na raia na sio kujenga chuki maana mwisho wa siku wakitemwa wanarudi uraiani
Tatizo la askari linaanzia kwenye mafunzo yao, wamefundishwa kutekeleza amri kwanza halafu ndio uhoji.
Wametumwa kuua raia(ambao ndio mtaji wao....kodi), wakatekeleza, sasa ndio akili zinamrudia.
 
Ninawasiwasi kama kweli aliyeandika uzi huu ni askari.Alipaswa ajue hali ya hewa humu..
Wajihidi liwe jeshi la wananchi na raia, sio wanasiasa, wezi na matapeli.Taaluma ya polisi ilipaswa kuwa taaluma ya watu wenye weredi wa kutosha na akili sababu maamuzi yao yanaweza sababisha maumivu, hasara ya mali na hata mauti..lkn kwa miaka ya karibuni wengi wa vijana wasiokua na tumaini la maisha, waliofeli shule, watukutu ndo wameingia.
Kuna jamaa jirani, mtoto wake wa kike - kichwa kizito, maji kabisa, kujieleza hewa, form four ilisumbua lkn yuko chuo cha polisi tayari, nimetafakati sana.
 
Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango, I mean house allowance.....licha ya kwamba tumepanga mitaani na kuna ambao wanaishi kota na bado wanapewa posho, kuna upendeleo.

Posho ya pango ni askari wote except wanaoishi kota, sasa cha ajabu mimi nipo nimepanga mtaani lakini posho ya pango wameitoa lakini wengine kama Maafisa wapo kota na wanalipwa.
Acha kulialia huko...Rushwa zote hizo mnazokula ?
 
Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango, I mean house allowance.....licha ya kwamba tumepanga mitaani na kuna ambao wanaishi kota na bado wanapewa posho, kuna upendeleo.

Posho ya pango ni askari wote except wanaoishi kota, sasa cha ajabu mimi nipo nimepanga mtaani lakini posho ya pango wameitoa lakini wengine kama Maafisa wapo kota na wanalipwa.
Nenda wizara ya mambo ya ndani ndio kuna Boss wenu. Hapa sisi tunakuona Spy tu
 
Back
Top Bottom