KERO Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango

KERO Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango, I mean house allowance.....licha ya kwamba tumepanga mitaani na kuna ambao wanaishi kota na bado wanapewa posho, kuna upendeleo.

Posho ya pango ni askari wote except wanaoishi kota, sasa cha ajabu mimi nipo nimepanga mtaani lakini posho ya pango wameitoa lakini wengine kama Maafisa wapo kota na wanalipwa.
 
Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango, I mean house allowance.....licha ya kwamba tumepanga mitaani na kuna ambao wanaishi kota na bado wanapewa posho, kuna upendeleo.

Posho ya pango ni askari wote except wanaoishi kota, sasa cha ajabu mimi nipo nimepanga mtaani lakini posho ya pango wameitoa lakini wengine kama Maafisa wapo kota na wanalipwa.
Kazi na Utu yale ya mo 29 mlikuwa mnatuua haya sasa
 
Nyie ndio Vinara wa
1. Utekaji.
2. Mauaji.
3. Watu kupotezwa.
4. Rushwa.
5. Wizi wa Simu zetu
5.Kubambikiza watu kesi za Uongo.
6. Kutesa.
7. Ubakaji.

Nyie ni hasara kubwa sana kwa Taifa.
Hamna Faida kuliko hasara nyingi kwenye Nchi yetu

SIWAPENDI WAUAJI WAKUBWA NYIE.
 
Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango, I mean house allowance.....licha ya kwamba tumepanga mitaani na kuna ambao wanaishi kota na bado wanapewa posho, kuna upendeleo.

Posho ya pango ni askari wote except wanaoishi kota, sasa cha ajabu mimi nipo nimepanga mtaani lakini posho ya pango wameitoa lakini wengine kama Maafisa wapo kota na wanalipwa.
Soma coment mkuu
Nje ya mada kidogo,

Jeshi linanatakiwa litafakari upya uhusiano wake na wanchi. Imagine hawa waliocomment wote ni majirani zako hapo mtaani.
 
Back
Top Bottom