KERO Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango

KERO Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Na Bado subiri ukistaafu ndio tutajua maana ya neno KARMA
Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango, I mean house allowance.....licha ya kwamba tumepanga mitaani na kuna ambao wanaishi kota na bado wanapewa posho, kuna upendeleo.

Posho ya pango ni askari wote except wanaoishi kota, sasa cha ajabu mimi nipo nimepanga mtaani lakini posho ya pango wameitoa lakini wengine kama Maafisa wapo kota na wanalipwa.
 
Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango, I mean house allowance.....licha ya kwamba tumepanga mitaani na kuna ambao wanaishi kota na bado wanapewa posho, kuna upendeleo.

Posho ya pango ni askari wote except wanaoishi kota, sasa cha ajabu mimi nipo nimepanga mtaani lakini posho ya pango wameitoa lakini wengine kama Maafisa wapo kota na wanalipwa.
Huna mahusiano mema na wakubwa tulia wewe , wa knye kota wanalipwa na wamewapa ndugu zao, wao wanaishi knye zao
 
Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango, I mean house allowance.....licha ya kwamba tumepanga mitaani na kuna ambao wanaishi kota na bado wanapewa posho, kuna upendeleo.

Posho ya pango ni askari wote except wanaoishi kota, sasa cha ajabu mimi nipo nimepanga mtaani lakini posho ya pango wameitoa lakini wengine kama Maafisa wapo kota na wanalipwa.
Je posho ya kwenda kutungua vibuyu vilivyo kuwa vichwa I kwa Watanzania mnalipwa?
 
Usilete Taharuki kwenye Jamii,, Serikali iko makini kabisa kwenye utendaji na ikiwezekana hata mshahara waupunguze, maana Amani yetu ni bora kuliko ajira yenu..
 
Comrade anaandaliwa kuunga mkono upande Fulani kiaina!

Ni vile hajajus potential yake!!

Kwasasa ni muda wa mgawanyiko mkuu wa kimedani sasa utaamua wewe uwe upande upi!!

Mwambie comrade achague upande coz ameshasanuliwa kupitia posho!

Nawaza!
 
Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango, I mean house allowance.....licha ya kwamba tumepanga mitaani na kuna ambao wanaishi kota na bado wanapewa posho, kuna upendeleo.

Posho ya pango ni askari wote except wanaoishi kota, sasa cha ajabu mimi nipo nimepanga mtaani lakini posho ya pango wameitoa lakini wengine kama Maafisa wapo kota na wanalipwa.
Hela mlizozipata kwenye vurumai ya uchaguzi mwaka jana imeisha so umekuja kutubwekea hapa.
 
Back
Top Bottom