Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 7,740
- 15,030
Hawa police hawana tofauti na mashetani, mpigike tuu left and right 🙏🤲
Hata pumzi ikiwezekana msipewe...Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango, I mean house allowance.....licha ya kwamba tumepanga mitaani na kuna ambao wanaishi kota na bado wanapewa posho, kuna upendeleo.
Posho ya pango ni askari wote except wanaoishi kota, sasa cha ajabu mimi nipo nimepanga mtaani lakini posho ya pango wameitoa lakini wengine kama Maafisa wapo kota na wanalipwa.
Nilkua naenda sehemu nimepanda pikipiki anaendesha jamaa akaniambia umemuona Mbwa? Nikaanza kuangalia angalia nikamuuliza Mbwa yupo wapi? Jamaa akaniuliza tena hujamuona Mbwa? Nikamwambia sijamuona Mbwa yuko wapi? Kumbe pembeni yetu kulikua na Askari kavaa uniform zake za olive anaendesha pikipiki, jamaa akaniambia Mbwa yule pale anaendesha pikipiki, ikabidi nichoke na kujitafakari kidogoMbwa ana kaa kwenye banda, kwenye banda hulipi kodi.
8-Kuiba /Kupora Kura za CHADEMA .Shenzi zaoNyie ndio Vinara wa
1. Utekaji.
2. Mauaji.
3. Watu kupotezwa.
4. Rushwa.
5. Wizi wa Simu zetu
5.Kubambikiza watu kesi za Uongo.
6. Kutesa.
7. Ubakaji.
Nyie ni hasara kubwa sana kwa Taifa.
Hamna Faida kuliko hasara nyingi kwenye Nchi yetu
SIWAPENDI WAUAJI WAKUBWA NYIE.
comment of ze dei😂😂😂😂😂😂Mbwa ana kaa kwenye banda, kwenye banda hulipi kodi.
RubbishAskari Polisi wengi hatupati posho ya pango, I mean house allowance.....licha ya kwamba tumepanga mitaani na kuna ambao wanaishi kota na bado wanapewa posho, kuna upendeleo.
Posho ya pango ni askari wote except wanaoishi kota, sasa cha ajabu mimi nipo nimepanga mtaani lakini posho ya pango wameitoa lakini wengine kama Maafisa wapo kota na wanalipwa.
nyie vibaraka ccm hata mshahara hamstahiri kupata kwa yale ya october 29Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango, I mean house allowance.....licha ya kwamba tumepanga mitaani na kuna ambao wanaishi kota na bado wanapewa posho, kuna upendeleo.
Posho ya pango ni askari wote except wanaoishi kota, sasa cha ajabu mimi nipo nimepanga mtaani lakini posho ya pango wameitoa lakini wengine kama Maafisa wapo kota na wanalipwa.