Makamura
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 356
- 550
Hizi bunduki za Automatiki zenye risasi nyingi kama 30+ ni silaha mahususi za Kivita sio za kulinda Raia au Kupigia Doria
Ukiangalia Nchi za wenzetu Police wanatumia Hand Gun kama Pistol ndogo kama Bereta na Glock kwasababu hizi hazina Impact kubwa ukipigwa katika mwili. Ila hizi Mashine Gun ni ngumu kuishi baada ya kupigwa kwasababu ina Impact kubwa sana unapopigwa nayo. Tujikumbushe kwa yaliowahi tokea
Naomba Mamlaka Husika iangazie hili na kulipa uzito ili kuepusha athari za hapa na pale
Ukiangalia Nchi za wenzetu Police wanatumia Hand Gun kama Pistol ndogo kama Bereta na Glock kwasababu hizi hazina Impact kubwa ukipigwa katika mwili. Ila hizi Mashine Gun ni ngumu kuishi baada ya kupigwa kwasababu ina Impact kubwa sana unapopigwa nayo. Tujikumbushe kwa yaliowahi tokea
Naomba Mamlaka Husika iangazie hili na kulipa uzito ili kuepusha athari za hapa na pale