Askari polisi Kenya ajichanganya

Askari polisi Kenya ajichanganya

fired

Senior Member
Joined
Apr 4, 2021
Posts
184
Reaction score
394
Iko askari mpumbavu aliamua kumsomesha mpenzi wake chuo kikuu alitumia takriban 800,000 za kenya baada ya kuhitimu mpenziwe alimuacha na kusema ako na elimu zaidi ya polisi.
Polisi alimfuata kwake na kumpiga risasi kumi na saba hadi kufa.
Je, makosa ni ya nani?
 
😁😁Wote wana makosa
dec01e9dbdfc852f555c3ac4dbbff242.jpg
 
Iko askari mpumbavu aliamua kumsomesha mpenzi wake chuo kikuu alitumia takriban 800,000 za kenya baada ya kuhitimu mpenziwe alimuacha na kusema ako na elimu zaidi ya polisi.
Polisi alimfuata kwake na kumpiga risasi kumi na saba.
Je, makosa ni ya nani?
Makosa ako na huyo polisi mpumbavu. Vile hiyo hela mazee angeitumia kujisomesha mwenyewe. Halafu huyo Manzi angeishia kwenye kumpendanga tu.
 
Iko askari mpumbavu aliamua kumsomesha mpenzi wake chuo kikuu alitumia takriban 800,000 za kenya baada ya kuhitimu mpenziwe alimuacha na kusema ako na elimu zaidi ya polisi.
Polisi alimfuata kwake na kumpiga risasi kumi na saba hadi kufa.
Je, makosa ni ya nani?
Makosa RISASI
 
Huyo askari ni fala tu, angeishia kula mbususu tu and then waachane salama na huyo demu. Somesha kama msaada/ufadhili tu huku ukila mbususu usitegemee demu aje kuwa mke wako wa maisha
 
Huyo askari ni fala tu, angeishia kula mbususu tu and then waachane salama na huyo demu. Somesha kama msaada/ufadhili tu huku ukila mbususu usitegemee demu aje kuwa mke wako wa maisha
KUSOMESHA NI KAZI YA WAZAZI
 
Makosa ako nayo wote, vile huyo mwanadada ako mpumbavu ako analuka sarakasi kwenye transfoma ya umeme, kwanini asipigwe shoti?..Hela ya askari huwa hailiwi kizembe, kwani wanaisotea sana. japo na askari naye kazingua.
 
Back
Top Bottom