Askari amshushisa dereva matusi na kipigo, Ni vipi tunaweza kujitetea na uonevu bila hofu ya kuuliwa, kubambikiwa kesi za madawa, ugaidi, n.k

Cheo kinapopewa kwa mtu ambae sio muadilifu huwa ni janga kwa wananchi.

Baadhi (sio wote) ya ma askari hutumia cheo hiki kunyanyasa raia, mfano anaweza kukupora mali yako, anaweza kukataa kukurudishia ulichomkopa, anaweza kukupiga, n.k.

Ukijaribu kujitetea kwa askar ambae sio muadilifu kitendo hiki kinampa hasira na kukukomoa kwa kukushushia kipigo, kukubambikia madawa ya kulevya, anaweza kukuua kabisa kwa kusingizia wewe gaidi, n.k.

Inakuwa ngumu mtu kujitetea hasa ukiangalia ana familia inayomtegemea, akienda hata lokapu siku 2 tu familia inadhhofika, sasa akienda jela vipi?

Sasa ni vipi tunaweza kujilinda?

Hii ni video ya mda kidogo ila ni mfano wa uonezi ambao bado upo,
View attachment 2256760
Inatisha. Mitusi kunyanyasa mangumi?! Hawa polisi wetu wana shida gani?!
 
Cheo kinapopewa kwa mtu ambae sio muadilifu huwa ni janga kwa wananchi.

Baadhi (sio wote) ya ma askari hutumia cheo hiki kunyanyasa raia, mfano anaweza kukupora mali yako, anaweza kukataa kukurudishia ulichomkopa, anaweza kukupiga, n.k.

Ukijaribu kujitetea kwa askar ambae sio muadilifu kitendo hiki kinampa hasira na kukukomoa kwa kukushushia kipigo, kukubambikia madawa ya kulevya, anaweza kukuua kabisa kwa kusingizia wewe gaidi, n.k.

Inakuwa ngumu mtu kujitetea hasa ukiangalia ana familia inayomtegemea, akienda hata lokapu siku 2 tu familia inadhhofika, sasa akienda jela vipi?

Sasa ni vipi tunaweza kujilinda?

Hii ni video ya mda kidogo ila ni mfano wa uonezi ambao bado upo,
View attachment 2256760
Kuna baadhi ya watu Afrika unapaswa ku deal nao style hii. Ukijifanya una deal nao kiulaya ulaya kwenye ustaarabu utaishia wewe askari kupigwa makofi. Clip tunayoona inaonesha mwisho wa tukio lakini haioneshi tukio zima.
 
kuna siku niliwakalisha askar watano na mmoja akiwa na bunduki, ilikua show kama ya dakika 5. Hawa ndugu zetu sometimes wana kausengerema.
Una bahati hukutwanga risasi. Nani kakwambia sifa ya kuwa askari polisi ni kuwa mbabe wa kijiji kizima? Nenda nchi yeyote wafanyie polisi hivyo, uone kama utaiona kesho.
 
Kuna Jamaa yangu mmoja alikataa kuonewa akaamua kupimana nguvu na Popoo, Jamaa alikuwa vizuri alimtandika Afande za kutosha sema wenzake wakaja fasta wakaanza kumchangia Jamaa kisha wakamsweka ndani na vitisho vya kufa Mtu..

Ni bahati tu Jamaa alikuwa ana connection huko juu na alikuwa Mtu mwenye umate mate, ingawa walihakikisha analala ndani ila siku inayofuata akatoka.

Ila ni risk maana wakikuweka kwenye 18 yao wote wanakuwa dhidi yako utakoma.
Ukiwa ndani ya anga za askari, na unajua fika kwamba una kosa(lazima iwe hivyo) uwe mpole sana! Jitahidi kubembeleza(mara zote hawakubali), kubali maumivu, chukua tiketi yako, nenda. Ni wazi maumivu ni Makali sana, shs 30,000/= usawa huu siyo mchezo.
Vinginevyo utaishia lokap, na zikutoke pengine Mara 10 ya hizo. Hasira hasara!
 
Acha kujiongelesha kwakua upo kwenye keyboard

Sio kwenye keyboard. Hata kama ni mimi hawezi kunipiga kifala. Labda niwe eneo langu la kazi au jirani na nyumbani kiasi kwamba atajua mi nani na ninaishi wapi.
Tofauti na hapo..utapigwa mkono atakaeishiwa pumzi atakimbia.
Awe na kisu, awe na silaha nitamchakaza tu ***** zao
 
Kuna Jamaa yangu mmoja alikataa kuonewa akaamua kupimana nguvu na Popoo, Jamaa alikuwa vizuri alimtandika Afande za kutosha sema wenzake wakaja fasta wakaanza kumchangia Jamaa kisha wakamsweka ndani na vitisho vya kufa Mtu..

Ni bahati tu Jamaa alikuwa ana connection huko juu na alikuwa Mtu mwenye umate mate, ingawa walihakikisha analala ndani ila siku inayofuata akatoka.

Ila ni risk maana wakikuweka kwenye 18 yao wote wanakuwa dhidi yako utakoma.
hiyo ni kama unabeti yaani,unawezapigwa ukafa kabisa maana ulijitutumua.
 
Sio kwenye keyboard. Hata kama ni mimi hawezi kunipiga kifala. Labda niwe eneo langu la kazi au jirani na nyumbani kiasi kwamba atajua mi nani na ninaishi wapi.
Tofauti na hapo..utapigwa mkono atakaeishiwa pumzi atakimbia.
Awe na kisu, awe na silaha nitamchakaza tu ***** zao
Naamini hauishi wala haufanyi kazi Msimbazi wala maeneo ya karibu.

Twende pale ukaanzishe ugomvi na mmoja tu.
 
Wanaumoja Hawa ndugu na ni rahisi hata kukuua kupoteza ushaidi, omba hekima siku ukikutana na kadhia kama hiyo
hekima haijawahi kushindwa,askari ni dhaifu sana kwa mtu mwenye hekima.

league ndizo wanapenda na wa mwisho kuumua ni wewe.
 
Cheo kinapopewa kwa mtu ambae sio muadilifu huwa ni janga kwa wananchi.

Baadhi (sio wote) ya ma askari hutumia cheo hiki kunyanyasa raia, mfano anaweza kukupora mali yako, anaweza kukataa kukurudishia ulichomkopa, anaweza kukupiga, n.k.

Ukijaribu kujitetea kwa askar ambae sio muadilifu kitendo hiki kinampa hasira na kukukomoa kwa kukushushia kipigo, kukubambikia madawa ya kulevya, anaweza kukuua kabisa kwa kusingizia wewe gaidi, n.k.

Inakuwa ngumu mtu kujitetea hasa ukiangalia ana familia inayomtegemea, akienda hata lokapu siku 2 tu familia inadhhofika, sasa akienda jela vipi?

Sasa ni vipi tunaweza kujilinda?

Hii ni video ya mda kidogo ila ni mfano wa uonezi ambao bado upo,
View attachment 2256760
huu ni upumbavu japo video ya kitambo
 
Back
Top Bottom