Pisi kali
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,235
- 2,546
Sawa mwalimu kashasha
Kwa huu wimbo wake mpya wa bwana starmina kuna haja ya kuchunguzana kabla watu hawajaingia kwenye ndoa ni muhimu kukaa kwenye mahusiano hata Miaka mitatu kwa kweli
Moja ya mistari ya kwenye huo wimbo
“Hata posa niliyoitoa mwambieni aingize vicoba”
“Unaweza mpakia mkongo mkeo na usimridhishe ila anaempakia mkorogo akafanya amridhishe”
Kaimba kihisi kweli
Walioko kwenye ndoa wanatamani watoke ambao hawapo kwenye ndoa wanaitamani ndoa[emoji1430]
Vijana sijui mnatafuta nini kwenye hizo ndoa, maana mtaani vyote vinapatikana kiurahisi kabisa tena kuliko hata huko kwenye ndoa. Ukitaka good sex zama kitaa, kids utapata bila shida, what else?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi posa inapelekwa vicoba ili ikafanye nini, ingekuwa mahari hapo sawa uandishi gani wa mashairi huu...?
Mtunzi huwa sijawahi kumuelewa aisee.
Kwamba ukiwa na ndoa ndio utaheshimiwa? Mbona wengi walio na ndoa hawajiheshimu? Kidini ni kheri,lakin kuhalisia ni majanga tuHeshima
Ndoa ni heshima kwa pande zote mbili
Pia kidini ndoa ni jambo la kheri
Kwamba ukiwa na ndoa ndio utaheshimiwa? Mbona wengi walio na ndoa hawajiheshimu? Kidini ni kheri,lakin kuhalisia ni majanga tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikazalishe[emoji16][emoji16] Kama alimtolea posa labda 100k Au 500k akipeleka vicoba atapata faida[emoji41]
Uishi kwa stress sababu ya heshima tu?Heshima
Ndoa ni heshima kwa pande zote mbili
Pia kidini ndoa ni jambo la kheri
Aiseewimbo unazidi nipa sababu ya kutooa