Asiwaze wa Stamina Ft Atan

Asiwaze wa Stamina Ft Atan

Ndoa za Hawa Musician ni vigumu sana kudumu. Upuuzi wao wanataka kuuhalalisha kwa wengine.

Tatizo lao wanaishi Maisha ya gharama na show off kibao wakati huko mtaani wanashindwa kulipa Kodi za pango, kulipa Ada za Watoto shule ni mgogoro lakini wawapo mitaani pyepyepye nyingi sana, Je katika hali kama hiyo utaacha kugongewa?

Na mtagongewa sana tu Wala hizo nyimbo hazisaidii chochote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Stamina ndio ana matatizo, jamaa alikuwa Malaya sana , hasa akienda kupiga show ,yeye na Roma ndio zao, sema Roma ashukuru mke wake mvumilivu sana

Huu wimbo katoa kama symphath tu
Hmmm, i dont think so..
Misunderstandings zlkua nyingi and he really tried his best to save the marriage,its personal stuffs.
Tuache speculations ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom