nasikisikia kijana wa msimbazi ni yule alieko lindi kule na aliendekeza mapenzi hadi akaisha kiwango
Anasemaje kwani?
Heri ya mwaka mpya dia babu
Hivi stamina kachapiwa yule mke wake au ni ngoma tu ametoa kuchangamsha genge..
"Kuchapiwa ni siri ya ndani" mavoko 1778 AD
Nilitafuta sababu sas nimepata siioi ng'oo tena ukijumlisha na hii vita ya iran vs marekan ndo kabsa nakosa nguv
Sent using Jamii Forums mobile app
Thank you dia babu,mwaka ukae wa heri kwetuSentensi ya pili ndo ina maana kubwa kwangu zaidi. Hayo mengine hebu tuyaache
Happy New Year my lovely dear mjukuu. Nimefurahi umeingia mwaka mpya na bikira yako. Keep up the good works darling
Ndo tunaonana leo hii tangu mwaka jana
Asante sana mjukuu mpenzi wa babu.Thank you dia babu,mwaka ukae wa heri kwetu
Hii bikra yangu naitunza hadi 2021....namtunzia naniliu
Pisi ikiwa Kali tuchunguze ili iweje?😛😀
Ndo hvyo mimi sichunguzi ikiwa Pisi Kali,Yasikukute ya starmina[emoji5]