Asiposhinda Hillary Clinton nahama Tanzania...

Asiposhinda Hillary Clinton nahama Tanzania...

Pole sana, Siasa hazitabiriki, nilikuwa napenda mama ashinde, lakini wiki moja kabla nilisoma alama za nyakati nikagundua kuwa mama anapambwa sana na vyombo vya habari kuliko uhalisia.
 
Kama atashindaa ntaendelea kuishi Tanzania

Iwapo atashindwa nawambii na nyumba nawapa naondoka na begi la mgongoni nawaachia nchi yenu

Welcome our next president of USA Hillary R Clinton

View attachment 431199


Umeshafungasha mizigo yako mkuu?

Unahama kama mhamiaji haramu ama mhamiaji halali?

Naomba uwe salama huko uendako. Lazima uende wa sababu ulitabiri. Ukitaka kuepuka uhamiaji wa lazima, inakupasa kufuta kauli yako vinginevyo utajikuta katika mazingira mageni bila kutaka. Futa hizo kauli zisizo na macho kwa maslahi yako na uzao wako.
 
Pole sana, Siasa hazitabiriki, nilikuwa napenda mama ashinde, lakini wiki moja kabla nilisoma alama za nyakati nikagundua kuwa mama anapambwa sana na vyombo vya habari kuliko uhalisia.

Mapema kusema hivo

We too believe in miracle
 
Mtoa mada avatar yako tu ni ya Lowasa.... You've already choosen the loosing side.

Pole. Trump is the elect president
 
Kama atashindaa ntaendelea kuishi Tanzania

Iwapo atashindwa nawambii na nyumba nawapa naondoka na begi la mgongoni nawaachia nchi yenu

Welcome our next president of USA Hillary R Clinton

View attachment 431199

kwaheri wasalimie uendapo tuache na tanzania [emoji1241] yetu.Byee[emoji112]
 
Umeshafungasha mizigo yako mkuu?

Unahama kama mhamiaji haramu ama mhamiaji halali?

Naomba uwe salama huko uendako. Lazima uende wa sababu ulitabiri. Ukitaka kuepuka uhamiaji wa lazima, inakupasa kufuta kauli yako vinginevyo utajikuta katika mazingira mageni bila kutaka. Futa hizo kauli zisizo na macho kwa maslahi yako na uzao wako.
Kauli kama hizo asipozitekeleza zitamtafuna hata vizazi kumi vijavyooo
 
Back
Top Bottom