Joto Balaa
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 1,141
- 770
HC 209 DP 244Nani kapigwa Muereka ? Mjomba bado sana kutabiri nani atashinda unless kama Trump amefikisha 265 na Hilary yupo huko kwenye 209
HC 209 DP 244Nani kapigwa Muereka ? Mjomba bado sana kutabiri nani atashinda unless kama Trump amefikisha 265 na Hilary yupo huko kwenye 209
Sio kweli Hilary ndio kapanda kutoka 209 mpaka 215 Donald bado yupo na 238 akitoboa Pennsylvania na Michigan basi tena Potus ni DonaldHC 209 DP 244
haaaaaaaa. Wamepigwa Rungu la Utosi Mkuu, wamarekani hawataki Siasa za Maji taka, na hadithi hadithi wanahitaji mtu wa vitendo.Naona wachambuzi wa habari za kimataifa mnaendelea kushangazwa!!
HC akipanda DP anashuka au huko marikani wanafanya fanyajeSio kweli Hilary ndio kapanda kutoka 209 mpaka 215 Donald bado yupo na 238 akitoboa Pennsylvania na Michigan basi tena Potus ni Donald
Jiandae kuhama Bongo....Kama atashindaa ntaendelea kuishi Tanzania
Iwapo atashindwa nawambii na nyumba nawapa naondoka na begi la mgongoni nawaachia nchi yenu
Welcome our next president of USA Hillary R Clinton
View attachment 431199
Najua wewe ni li ccm kwahiyo unamwogopa trump atamtumbua uchwara???Kama atashindaa ntaendelea kuishi Tanzania
Iwapo atashindwa nawambii na nyumba nawapa naondoka na begi la mgongoni nawaachia nchi yenu
Welcome our next president of USA Hillary R Clinton
View attachment 431199
Anza kufungasha maana hakuna jinsi tenaKama atashindaa ntaendelea kuishi Tanzania
Iwapo atashindwa nawambii na nyumba nawapa naondoka na begi la mgongoni nawaachia nchi yenu
Welcome our next president of USA Hillary R Clinton
View attachment 431199