MasterP.
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 8,222
- 6,716
Ok subiriNani kapigwa Muereka ? Mjomba bado sana kutabiri nani atashinda unless kama Trump amefikisha 265 na Hilary yupo huko kwenye 209
Ok subiriNani kapigwa Muereka ? Mjomba bado sana kutabiri nani atashinda unless kama Trump amefikisha 265 na Hilary yupo huko kwenye 209
244 Trump kwa 215 Clinton so far. Kuwa potus lazima ufikishe 270We jiandae2 kuama maana kwa muelekeo huu Clinton kushinda ni ndoto mpaka sasa ana 215 mwenzake ana 254 unategemea atapindua makeo kwel! Sjui unahamia wap mwenzetu.
YOU ALWAYS BACK LOOSER.Kama atashindaa ntaendelea kuishi Tanzania
Iwapo atashindwa nawambii na nyumba nawapa naondoka na begi la mgongoni nawaachia nchi yenu
Welcome our next president of USA Hillary R Clinton
View attachment 431199
Salaam huko uendako[emoji2]Kama atashindaa ntaendelea kuishi Tanzania
Iwapo atashindwa nawambii na nyumba nawapa naondoka na begi la mgongoni nawaachia nchi yenu
Welcome our next president of USA Hillary R Clinton
View attachment 431199
Haya sasa kijana hapa nilipopanga kuna chumba kimoja kodi ni 12kilo per month naweza kuongea na mwenyw nyumba hana shida, maana usiyempenda huyoooooo[emoji23] !!Upo sahihi kabisa, maana Trump hataki kulea lea wasio na kazi wale bure!!, heri yako umeonyesha nia [emoji41] !!
Miujiza mnaombeana huku kwenu na kina Gwajima. Wenzetu kwao hakunaga miujiza, the best candidate takes the officeMwe! Mama Clinton nazidi kukuombea utokee muujiza ushinde
Yawezekana jamaa mwenyewe siyo mtzYule aliyesema Hillary akishindwa anaondoka Tanzania mmeshampa nauli jamani manake safari yake imekwiva. Ajiandae kupaki tu mabegi yake manake Trump is trumping all the way to the White House.
Kama atashindaa ntaendelea kuishi Tanzania
Iwapo atashindwa nawambii na nyumba nawapa naondoka na begi la mgongoni nawaachia nchi yenu
Welcome our next president of USA Hillary R Clinton
View attachment 431199
Mie sio shoga but nampenda HCWanataka Clinton ashinde wengi ni mashoga ili wakaolewe USA
Ungekuwa hutumii ID fake ningeamini kidogo kiapo chako.Maana unajua hakuna atakayekuja kukudai hiyo nyumba mara baada ya mama Hilary kushindwa.Kama atashindaa ntaendelea kuishi Tanzania
Iwapo atashindwa nawambii na nyumba nawapa naondoka na begi la mgongoni nawaachia nchi yenu
Welcome our next president of USA Hillary R Clinton
View attachment 431199
Ati nini?Why cant i picture Hillary President??
Afuatane na yule jamaa wa Nigeria.......mtabiri....mkuu mungu anakuoana anza safari mapema kabla kiza hakijaingia
[emoji15] [emoji15] [emoji15] nafikiri sasa utakua upo AirportKama atashindaa ntaendelea kuishi Tanzania
Iwapo atashindwa nawambii na nyumba nawapa naondoka na begi la mgongoni nawaachia nchi yenu
Welcome our next president of USA Hillary R Clinton
View attachment 431199