Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,987
Waziri Ummy Mwalimu amesema hayo Januari 10, 2024 wakati akitoa taarifa ya hali ya utoaji huduma za Afya nchini kwa mwaka 2023 wakati wa mkutano wake na Waandishi wa habari uliofanyika kwenye ofisi ndogo za Wizara ya Afya Jijini Dar es Salaam.
“Lengo la nchi ni kufikia asilimia 95 ya wanaojifungulia kwenye vituo vya kutolea huduma za Afya ifikapo mwaka 2030,” amesema Waziri Ummy.
Amesema, Mwenendo huu wa utumiaji wa huduma unaendana na takwimu zinazosema vifo vitokanavyo na Uzazi vimepungua kwa asilimia 80 kutoka mwaka 2016 hadi 2022.