Asilimia 36 ya Magari yanayotumia Morogoro Rd (Ubungo - Kibaha) ni Maroli ya Mizigo - TANROADS

Asilimia 36 ya Magari yanayotumia Morogoro Rd (Ubungo - Kibaha) ni Maroli ya Mizigo - TANROADS

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
31,139
Reaction score
88,800
Kwa research waliyoifanya June mwaka 2025, wamesema 36% yamagari yanayotumia iko kipande ni maroli ya mizigo.

Pia, wastani wa magari elfu 29 yanapita kila siku hii njia, na kati yake 9,700+ ni maroli ambayo ni karibia 36%.

Hayo yote yamesemwa na TANROADS Coast Regional Manager, Engineer Baraka Mwambage, akiongea na Daily News katika mikakati yake kupunguza foleni hii barabara.

My take: Tatizo wameshalijua, ila wanalipaka rangi. Kurekebisha barabara na kupanua ni temporary solution.
 
Kwa research waliyoifanya June mwaka 2025, wamesema 36% yamagari yanayotumia iko kipande ni maroli ya mizigo.

Pia, wastani wa magari elfu 29 yanapita kila siku hii njia, na kati yake 9,700+ ni maroli ambayo ni karibia 36%.

Hayo yote yamesemwa na TANROADS Coast Regional Manager, Engineer Baraka Mwambage, akiongea na Daily News katika mikakati yake kupunguza foleni hii barabara.

My take: Tatizo wameshalijua, ila wanalipaka rangi. Kurekebisha barabara na kupanua ni temporary solution.
Kwahiyo hizo data zinawasaidia nn !?
 
Barabara ngumu hyo .Wana kula tu hela.
Alafu vile vituo vya mizani ndio vinaleta foleni.kwanini mizani ISIWEPO viwandani na bandarini.
Dereva alitoka anatoka na cheti Cha kuthibitishwa kuwa amepima mzigo upo sawaa.kuliko kwenda kupimiwa barabarani?
 
Barabara ngumu hyo .Wana kula tu hela.
Alafu vile vituo vya mizani ndio vinaleta foleni.kwanini mizani ISIWEPO viwandani na bandarini.
Dereva alitoka anatoka na cheti Cha kuthibitishwa kuwa amepima mzigo upo sawaa.kuliko kwenda kupimiwa barabarani?
Niliwahi kumuuliza jamaa wa mizani. Akasema: kuna mizigo inaongezewa njiani (mfano vichanja).
 
Kwa research waliyoifanya June mwaka 2025, wamesema 36% yamagari yanayotumia iko kipande ni maroli ya mizigo.

Pia, wastani wa magari elfu 29 yanapita kila siku hii njia, na kati yake 9,700+ ni maroli ambayo ni karibia 36%.

Hayo yote yamesemwa na TANROADS Coast Regional Manager, Engineer Baraka Mwambage, akiongea na Daily News katika mikakati yake kupunguza foleni hii barabara.

My take: Tatizo wameshalijua, ila wanalipaka rangi. Kurekebisha barabara na kupanua ni temporary solution.
Mi naona kama wangeweza malori yapite kule air port yaelekee kisarawe yakachane lile road kutokea kinyerezai kufuru yaende hadi mbezi yakatokeaa pale mbezi kwa yusuph yaendelee na safari
 
Mi naona kama wangeweza malori yapite kule air port yaelekee kisarawe yakachane lile road kutokea kinyerezai kufuru yaende hadi mbezi yakatokeaa pale mbezi kwa yusuph yaendelee na safari
Wanafanya makusudi hawa basi tu.
 
Lori zimekuwa kero kuna muda unatamani uliache gari upande boda..!!

Halafu sasa hivi yamekuwa ni mengi kuliko wakati wowote…. Yapo mpaka no A unabaki unajiuliza maswali yasiyo na majibu dah!! 😥
 
Barabara ngumu hyo .Wana kula tu hela.
Alafu vile vituo vya mizani ndio vinaleta foleni.kwanini mizani ISIWEPO viwandani na bandarini.
Dereva alitoka anatoka na cheti Cha kuthibitishwa kuwa amepima mzigo upo sawaa.kuliko kwenda kupimiwa barabarani?
Ndio wazo zuri sana, wafanye kama wanavyo fanya Coca-Cola na breweries PLC

Sema Sasa Kuna haya mabandari kavu kila mahali, hawa Ndio wanatakiwa ku install weighting measures
 
Mwaka juzi serikali ilikuja na mkakati wa kumpa mwekezaji ajenge kutoka kibaha - Moro Kwa lanes 4.
Kwa miaka 70 ya Uhuru bado tupo kwenye barabara ya mkoloni
 
Kwa research waliyoifanya June mwaka 2025, wamesema 36% yamagari yanayotumia iko kipande ni maroli ya mizigo.

Pia, wastani wa magari elfu 29 yanapita kila siku hii njia, na kati yake 9,700+ ni maroli ambayo ni karibia 36%.

Hayo yote yamesemwa na TANROADS Coast Regional Manager, Engineer Baraka Mwambage, akiongea na Daily News katika mikakati yake kupunguza foleni hii barabara.

My take: Tatizo wameshalijua, ila wanalipaka rangi. Kurekebisha barabara na kupanua ni temporary solution.
Shida sio takwimu, shida tatizo lina tatuliwa vipi? mbona kila mwaka takwimu zinatolewa? na kwanini mipango ikiwekwa haitekelezwi? Shida TANROAD wakubwa sana na hawa wawajibishwi na yeyote mengi wana fanya kwa ukiburi wa ukubwa walio limbikiziwa na mamlaka.
 
Back
Top Bottom