Asikudanganye mtu bana hii kitu ni tamu balaaaa

<font color="#4b0082"><span style="font-family: century gothic">Hapa nipo mitaa fulani ndani ndani huku mbezi na ninakamu hii maneno, muuzaji anadai wateja wamepungua sana kipindi hiki</span></font><br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=34951&amp;stc=1" attachmentid="34951" alt="" id="vbattach_34951" class="previewthumb size_fullsize" />
<br />
<br />
swaumu ndugu yangu, unanitamanisha kaka!
 
mtu unakula kuliko kuli wa kariakoo?
Hapo tu wala ivo unauza duka.
Je ungekua unabeba zege si ingekuwa balaa!
 
mtu unakula kuliko kuli wa kariakoo?
Hapo tu wala ivo unauza duka.
Je ungekua unabeba zege si ingekuwa balaa!
Sie kwetu Mwanaume asifiwa kazi na kula shekh wangu, we umezoea ugali nusu kilo na kipande cha papa au nguru aliooza?
Hii kitu ni bomba asikudanganye mtu
 
Isaya 66:16-17-...Bwana atawauwa kwa upanga na kwa moto, wale walao nguruwe...Na watakao uwawa na Bwana watakuwa wengi..


Onyo, matumizi ya kitimoto ni hatari kwa destiny yako...
 
View attachment 34951

Isaya 66:16-17-...Bwana atawauwa kwa upanga na kwa moto, wale walao nguruwe...Na watakao uwawa na Bwana watakuwa wengi..


Onyo, matumizi ya kitimoto ni hatari kwa destiny yako...
Mkuu umekosea njia hapa sio jukwaa la dini na vifungu vyako vya bibilia.
Hapa tunamzungumzia mkuu wa meza cheki jinsi alivyo tamalaki kwa meza........................Nitamu hii kitu bana
 
Hii kitu safi sana,ni jana tu nimeirekebisha maeneo fulani! Hii kitu + ugali=safi sana!
 
Isaya 66:16-17-...Bwana atawauwa kwa upanga na kwa moto, wale walao nguruwe...Na watakao uwawa na Bwana watakuwa wengi..


Onyo, matumizi ya kitimoto ni hatari kwa destiny yako...




Ingekuwa hivyo si kizazi chote cha wazungu na wengineo walao hiyo kitu kisingekuwepo leo hii?
 
Back
Top Bottom