Asiaminike sana, system wengi huwa hawastaafu

Asiaminike sana, system wengi huwa hawastaafu

Nimewaambia sana kuhusu huyo mtu.

Ni pandikizi la CCM Dola.
Ni Askari police.
Ni mtu wa Kipepeo mweusi.
Ni Mwanasheria.

Anataka kuaminika kwa watanganyika Aende CHADEM apate NAFASI awavuruge vibaya mno.

MADEREKA NI KIRUSI HATARI.
NIGUSE NINUKE.
Mbona Heche usemi ni wap toka alivyokua Mwalimu?

Wakampeleka Sauti .

kiufupi Upinzani vimeo vingi sana.

Ali Kibao nilwona mjinga sana alivyojimaliza kwao akiamini kuna siri mule.

RiP kibao
 
Na anajitahidi kuweka imani aaminike,

System inaweza kukufunga hata gerezani miaka kadhaa uchunguze mtu fulan mfungwa au tukio fulan ndani,

Na ika ku harass sana huku nyuma ya mlango ikikupoza kiaina,

Wanaoona karibu wakakuamini na kukuweka kwenye Taasisi zao ,

Au mwanachama anayesumbua akahama chama tawala akaenda Upinzani, naye system ikasema nenda mchunguze, jiunge gombea ubunge huko huko

Suspect anyone trust no body

Britanicca
Yeah japo Sinde na Ulimwengu ambao pia ni zao la humohumo raia wametokea kuwaamini 100%.
 
Tatizo kubwa nililoligundua kwetu sisi watanzania wengi, ni mfumo wa elimu yetu unaotulazimisha tukariri zaidi tunachofundishwa darasani kwa ajili ya kufaulu mtihani badala ya kuelewa concepts tunazofundishwa ili tuzitumie katika maisha yetu ya kila siku

Kwa mfano; ukifuatilia historia ya kuanzishwa kwa vyama vingi Tanganyika/Tanzania vitabu vya historia vimeandika wazi kabisa kuwa ilikuwa ni kutekeleza masharti yaliyotolewa na UNO (UN) pamoja na IMF ili waweze kuendelea kusaidia serikali

Kwa msingi huo unategemeaje kukutana na vyama halisi vya upinzani?

Vyama vingi vilianzishwa kwa "malengo ya serikali" hivyo serikali haijawahi kuacha kutupia macho yake huko kila siku kuangalia visitoke nje ya malengo ya kuvianzisha

Itachukua miaka mingi sana "macho ya serikali" kutoka kwenye hivi vyama pinzani

Wakati "Mwenyekiti" yuko "on fire", niliwahi kuwaambia watu huyo mtu atashughulikiwa muda si mrefu kwasababu ni kama anataka kujenga taasisi imara kupitiliza vipimo wanavyopimiwaga, tukabishana sana. Sasa kiko wapi!!
 
Tatizo kubwa nililoligundua kwetu sisi watanzania wengi, ni mfumo wa elimu yetu unaotulazimisha tukariri zaidi tunachofundishwa darasani kwa ajili ya kufaulu mtihani badala ya kuelewa concepts tunazofundishwa ili tuzitumie katika maisha yetu ya kila siku

Kwa mfano; ukifuatilia historia ya kuanzishwa kwa vyama vingi Tanganyika/Tanzania vitabu vya historia vimeandika wazi kabisa kuwa ilikuwa ni kutekeleza masharti yaliyotolewa na UNO (UN) pamoja na IMF ili waweze kuendelea kusaidia serikali

Kwa msingi huo unategemeaje kukutana na vyama halisi vya upinzani?

Vyama vingi vilianzishwa kwa "malengo ya serikali" hivyo serikali haijawahi kuacha kutupia macho yake huko kila siku kuangalia visitoke nje ya malengo ya kuvianzisha

Itachukua miaka mingi sana "macho ya serikali" kutoka kwenye hivi vyama pinzani

Wakati "Mwenyekiti" yuko "on fire", niliwahi kuwaambia watu huyo mtu atashughulikiwa muda si mrefu kwasababu ni kama anataka kujenga taasisi imara kupitiliza vipimo wanavyopimiwaga, tukabishana sana. Sasa kiko wapi!!
Yaani wewe ndio UMEMALIZA wajinga wengi ukiwaambia hawaelewi somo
Yaani ungekuwa karibu ningekugonga na fegi zetu za msuba a.k.a ndumu au bangilii
 
Yeah japo Sinde na Ulimwengu ambao pia ni zao la humohumo raia wametokea kuwaamini 100%.
check and Balance hao.

Wanatumika sana kutuliza joto both side


Zitto , Heche, Mbatia , Katambi.

Mule juu juu


sema kila mtu alikua na majukumu yake.

Na Yule jamaa wa Kulee Cuba ( Victorio... Sampere)
 
Tatizo kubwa nililoligundua kwetu sisi watanzania wengi, ni mfumo wa elimu yetu unaotulazimisha tukariri zaidi tunachofundishwa darasani kwa ajili ya kufaulu mtihani badala ya kuelewa concepts tunazofundishwa ili tuzitumie katika maisha yetu ya kila siku

Kwa mfano; ukifuatilia historia ya kuanzishwa kwa vyama vingi Tanganyika/Tanzania vitabu vya historia vimeandika wazi kabisa kuwa ilikuwa ni kutekeleza masharti yaliyotolewa na UNO (UN) pamoja na IMF ili waweze kuendelea kusaidia serikali

Kwa msingi huo unategemeaje kukutana na vyama halisi vya upinzani?

Vyama vingi vilianzishwa kwa "malengo ya serikali" hivyo serikali haijawahi kuacha kutupia macho yake huko kila siku kuangalia visitoke nje ya malengo ya kuvianzisha

Itachukua miaka mingi sana "macho ya serikali" kutoka kwenye hivi vyama pinzani

Wakati "Mwenyekiti" yuko "on fire", niliwahi kuwaambia watu huyo mtu atashughulikiwa muda si mrefu kwasababu ni kama anataka kujenga taasisi imara kupitiliza vipimo wanavyopimiwaga, tukabishana sana. Sasa kiko wapi!!
mbumbumbu watapita kama wanaaga maiti.

yaan Leo kuna mtu alikua anaweka imani yake kwa Mtu kaka Mbowe, Mnyika?

Hahaha.
 
Na yule ni polisi sidhani hata kama kazi yenyewe kaacha, kwani kuna polisi ambao hawana sare wala kituo wanafanya kazi taasisi zingine. Hao mtakuja kujua ni mwenzao labda akifariki na wenzao kuja kutangaza msiba wake na hadi namba yake ya kazi
vp kushusu J Mnyika?

Maingizo mengi ya Freeman ni Vipep..

Freeman alipewa vijana ndio akina Katabi, nk

Mbatia alipewa akina Tumbili, Moses, Nk

Bahati mbaya wabongo wanadhani kuishi kwa siasa ni rahisi haha jaribu wengine wapo kwenye payrol.

Kipenyo, Kificho, Kibanzi.

Vyama vya upinzani wamejaa vificho hasa kwenye mabaraza ya Vijana.
 
Back
Top Bottom