Asiaminike sana, system wengi huwa hawastaafu

Asiaminike sana, system wengi huwa hawastaafu

vp kushusu J Mnyika?

Maingizo mengi ya Freeman ni Vipep..

Freeman alipewa vijana ndio akina Katabi, nk

Mbatia alipewa akina Tumbili, Moses, Nk

Bahati mbaya wabongo wanadhani kuishi kwa siasa ni rahisi haha jaribu wengine wapo kwenye payrol.

Kipenyo, Kificho, Kibanzi.

Vyama vya upinzani wamejaa vificho hasa kwenye mabaraza ya Vijana.
Freeman mwenyewe si wa kuaminika ma hsta huyo Mbatia ni haohao tu. Siasa imejaa mapandikizi wengi sana wanaojifanya hawao upande wa serikali kumbe ni drama
 
Hakuna mwenye akili timamu anayeweza kumwamini Madeleka. Hata yeye mwenyewe tu anaonekana kazi ya kujipenyeza haiwezi.
Nitadondosha List hapa.

utalia na utaachana na siasa.

Top 80% vyama vyote ni Mpango wa Within.

Hata Toto Mtundu alikua wao akavuka line.

now wanamvuta arejee mzigoni.

Buttefly very smart amjui tu haha
 
Back
Top Bottom