Asanteni wana jamii kwani nimepata rafiki

Asanteni wana jamii kwani nimepata rafiki

da debora

Member
Joined
Nov 16, 2013
Posts
15
Reaction score
26
Napenda sana kumshukuru Mungu na wanajamii kwa mchango wenu,japo kuna wengine walinikejeli,kunitania na wenye wema na mimi walinitia moyo,na wengi walijitokeza kuni pm na pia email,nawashukuru sana,mtakuwa marafiki zangu wa kawaida maana nimempata mmoja humuhumu,jamani msikate tamaa mnaoomba na kutafuta mume au mke mtapata,nawatakia kila la heri.ASANTENI SANA KWA WALE MLIOSHIRIKIANA NAMI.MUNGU AWABARIKI,AMEN
 
Bado mapema sana....nadhani hata wiki haijapita.

All in all kila la kheri.
 
Ni mapema sana kushukuru lakini ni adabu njema inayopaswa kuigwa! Kila la kheri da debora
^^
 
Last edited by a moderator:
Haya, umewapa moyo wale wanotafuta..
 
Kila la kheri bidada...tushukuru kwa yote...
 
Nasi twashkuru kwa taarifa, na ikitokea chochote usisite kutuambia, naharusi pia uje utu taarifu tuje tuwachangie na tule ubwabwa manaake wote ni jamii moja,

ila hebu tuambie ulituia utaratibu gani wa kuchagua huyo mutu, au ulikua unaskiliza voko zao??
 
da debora hebu tiririka "how where funny to meet with your mwenza for a first time plz tiririka step by step but pls hide its <user name>if its posible
 
Hongera sana!
...
Ubarikiwe!
...
Udumu na uliempata!
Forget about nyumba ndogo!
Be partient!
...
Kila la heri!
 
Kumbe inawezekana eeh.. Hongera b dada jitahidi kulinda hilo penzi jipya
 
bullshit! huyu alikuwa anatafuta umaarufu tu! Hyo post ya jana tu leo ushapata rafik tena ambaye una uhakika naye atakufaa? Kama ni ujinga ni huu
 
Join Date : 16th November 2013
Posts : 8
Rep Power : 302
Likes Received3
Likes Given0
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom